DADA ZETU WAPENDWA:tunaomba tuwashauri

DADA ZETU WAPENDWA:tunaomba tuwashauri

Nyani Ngabu, Kisusi et al. Ni wazi tutatofautiana kwenye hii topic, lakini Teamo (nilivyomuelewa) hakatai kuwa sex ni muhimu katika mahusiano ila anahadharisha wale (especially) women ambao wanafanya sex kuwa ndiyo muhimili wa mahusiano yao. Kwangu mimi dada ambaye hayuko tayari kutanua miguu yake kwenye mahusiano kabla ya kuolewa, hiyo ni moja ya sifa ya mwanamke anayefaa kuwa mke.

Seehmu kubwa ya watuu wanaopata shida kwenye ndoa zao ni wale waliokuiwa na tabia ya kufanya sex na wanaume/wanawake wengi kabla ya ndoa. That makes marriage life full of misery as you keeep compare your previous experiences Vs whta you are getting now. Kama partner wako hakufikia viwango vya yule wa zamani utatoka xsana nje ya mahusianao yenu.
 
Kwangu mimi dada ambaye hayuko tayari kutanua miguu yake kwenye mahusiano kabla ya kuolewa, hiyo ni moja ya sifa ya mwanamke anayefaa kuwa mke.

Vizuri umesema kwako wewe la sivyo ningekudondokea kama tani ya matofali. Hayo ni maono yako na siwezi kuyakataa.

Seehmu kubwa ya watuu wanaopata shida kwenye ndoa zao ni wale waliokuiwa na tabia ya kufanya sex na wanaume/wanawake wengi kabla ya ndoa. That makes marriage life full of misery as you keeep compare your previous experiences Vs whta you are getting now. Kama partner wako hakufikia viwango vya yule wa zamani utatoka xsana nje ya mahusianao yenu.
Do you have any verifiable empirical evidence to support your claim?
 
My bullshit detector is very well calibrated and it can detect bullshit and related mumbo jumbo from miles away. The bottomline here is this: Love has no principle. What worked for you may not necessarily work for somebody else. So the bottom bottomline is this: Do you. Just do you.
This confidence (I feel it is too much) u r displaying here might cost u a dime sumtime in the future.
 
Sasa nguzo ya mapenzi ni nini?

Maana husemwa eti usipomridhisha mwanamke wako utatombewa (na kutombewa si tusi, ni Kiswahili sanifu).

Au ngoja niwaulize wadada humu ndani. Hivi ukiwa na mwanaume wako ambaye ha last long in bed...one minute man....pampu mbili tu keshapasua mbegu wakati wewe ndo kwanza unaanza kusikilizia maraha. Utakaa naye hadi kuoana naye kweli? If sex was really that bad but everything else was okay, would you really stay with him and be faithful to him? Najua mademu (sio wote) wana tabia ya kuongelea mambo yao ya chumbani...sasa ukisikia rafiki zako wanajigamba jinsi wanaume wao wanavyo lay the pipe...hautashikwa na tamaa ya kumwibia mwanaume wako ambaye hakuridhishi? I find it hard to believe...

Say what you want about sex, but I tell you this....mind-blowing, jaw-dropping, earth-shaking, knee-weakening (yes, if you hit it the right way demu lazima nguvu miguuni kwenye magoti zimwishie hadi anashindwa kusimama) sex can go a long way in keeping a relationship together. I'm not saying it is the glue that can only hold a relationship together...but if the sex is bad....you might as well forget it. Utatombewa.

Hivi mmewahi kujiuliza kwa nini baadhi wanawake hukaa kwenye mahusiano licha ya manyanyaso? Hehehehe...mnaweza kunibishia lakini kuna ukweli kiasi fulani kuwa kama jamaa anamdinya vizuri demu, huyo demu atabaki tu. Hata akiondoka atarudi tu. Mfano mzuri Whitney Houston na Bobby Brown. Juzi juzi tu hapa Whitney mwenyewe amekiri kuwa "the sex was good" akijibu swali kwa nini hakuachana na Bobby mapema licha ya yote Bobby aliyokuwa akimfanyia. Najua sasa wameachana lakini msishangae kusikia wamerudiana tena.

Sasa nasubibiri makombora....cutie patootie upo? What say you?
Aisee nadhani bado hujamsoma vizuri mtoa mada.
 
This confidence (I feel it is too much) u r displaying here might cost u a dime sumtime in the future.

Cost me what? I am a legend here...been here since day one. Been thru hell and back...been thru it all. Nothing will cost me nothing playboy, ya dig?
 
Cost me what? I am a legend here...been here since day one. Been thru hell and back...been thru it all. Nothing will cost me nothing playboy, ya dig?
Mkuu hapo kwenye red una hakika au vidole havina mfupa. Coz wen u think u hav seen it all u will be surprised 1 day to realize that u actually may have seen only 1% or less. Acha bana dunia hii ni pana sana. Kuna msemo unaosema kuwa the more you learn the more you realize u actually know very little.
Ushauri: Pull up your sleeves coz there is a lot more to learn and encounter out there.
 
Aaah na wewe Womanizer bana...hebu rudi ukurasa wa tatu uone nilivyomnukuu Fisherscom....leo vipi? You seem kinda out of it....
 
Mkuu hapo kwenye red una hakika au vidole havina mfupa. Coz wen u think u hav seen it all u will be surprised 1 day to realize that u actually may have seen only 1% or less. Acha bana dunia hii ni pana sana. Kuna msemo unaosema kuwa the more you learn the more you realize u actually know very little.
Ushauri: Pull up your sleeves coz there is a lot more to learn and encounter out there.

Thank you for your unsolicited advice....
 
...sex ni muhimu kwangu na kama mtu tuko incompatible kitandani siwezi olewa naye...
...ila pia ndoa yangu haitabase kwenye sex alone...
..sababu najua, as a woman kipindi kitafika i wont be able to provide...:target:

kumbe bado...
:hug:
 
ngabu naona umekuja na HASIRA za kufa mtu!..
shusha presha kaka!
btw DAR LINI?
kuna ishu muhimu sana ya kuongea
 
Hawa kinadada mnaowashauri wameshawaelewa au?
 
Vizuri umesema kwako wewe la sivyo ningekudondokea kama tani ya matofali. Hayo ni maono yako na siwezi kuyakataa.

Do you have any verifiable empirical evidence to support your claim?

Nimefanya utafiti kupitia magazeti (maswali kuhusu mapenzi). Wengi wanaolalamika kuwa waume au wake zao hawawaridhishi kimapenzi kama 'wapenzi wao wa zamani". Katika kesi kama hizo unapata evidence gani?
 
Off topic kidogo, wapendwa wana Jf, kuna yeyote humu ndani ana sababu zaidi ya sex ilomfanya akaingia kwenye mahusiano ya mapenzi? Samahani kwa nitakaye mkwaza

mi binafasi umenikwaza tayari....
 
Back
Top Bottom