Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 530
Nyani Ngabu, Kisusi et al. Ni wazi tutatofautiana kwenye hii topic, lakini Teamo (nilivyomuelewa) hakatai kuwa sex ni muhimu katika mahusiano ila anahadharisha wale (especially) women ambao wanafanya sex kuwa ndiyo muhimili wa mahusiano yao. Kwangu mimi dada ambaye hayuko tayari kutanua miguu yake kwenye mahusiano kabla ya kuolewa, hiyo ni moja ya sifa ya mwanamke anayefaa kuwa mke.
Seehmu kubwa ya watuu wanaopata shida kwenye ndoa zao ni wale waliokuiwa na tabia ya kufanya sex na wanaume/wanawake wengi kabla ya ndoa. That makes marriage life full of misery as you keeep compare your previous experiences Vs whta you are getting now. Kama partner wako hakufikia viwango vya yule wa zamani utatoka xsana nje ya mahusianao yenu.
Seehmu kubwa ya watuu wanaopata shida kwenye ndoa zao ni wale waliokuiwa na tabia ya kufanya sex na wanaume/wanawake wengi kabla ya ndoa. That makes marriage life full of misery as you keeep compare your previous experiences Vs whta you are getting now. Kama partner wako hakufikia viwango vya yule wa zamani utatoka xsana nje ya mahusianao yenu.