Hawa kinadada mnaowashauri wameshawaelewa au?
malenga mpya!....vina vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kaa mashairi ya saadanhommie......huwa wanaelewa halafu wanajifanya hawajaelewa....ila wakilewa ndo wanajikuta wameelewa.....hapo siye tunakuwa tumeshaelewa zamaaaaaaaaaani! LOL
Vitu muhimu kwetu kwanza ni Upendo wa kweli Sex ni matokeo tu binamu..
Ukiwa na upendo wa kweli kwanza ..
Utamjali mwenzio
Utampenda mwenzio
utamuheshimu mwenzio
Utamuona wa maaana kuliko wengine wote
na hayo mengine yanatokea..
lakini kwenye Kparty moja nilisikia mama mmoja anatudanganya sex ndio iwe ngao ya ndoa /mahusiano yetu:lie:
KUNA JAMAAANGU HAPA OFISINI...
anasema akikosana na galfrendi wake,wanapotafuta muafaka wakishayamaliza matatizo yao jamaa huwa hawezi kuamini kwamba yamekwisha mpaka wafanye mapenzi
malenga mpya!....vina vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kaa mashairi ya saadan
you either take it or leave it!lakini naomba mtupe nafasi ya kuwashauri.....!
Inawezekana sio wote,au si wewe unaesoma hii thread lakini wengi wenu wana udhaifu mmoja mkubwa sana na mdogo sana kwenye hii habari ya mahusiano.....!
Ni hivi:
Kuna vitu huwa mnavifanya kwenye mahusiano ''machanga'' mkidhani kwamba vinaweza kuwa hamasa ya kumshawishi mwanaume aendelee kujiweka!kumekuwa na tabia fulani ya kujikabidhisha ki-ngono kwa mwanaume na kuifanya kama ''bid security'' ya hayo mahusiano.nimeangalia kwenye thread fulani lediiz kadhaa wameweka bayana kwamba wanapenda sex sana tu!okay sijakataa.lakini naomba muibadilishe kidogo hiyo dhana!......
Kuna vitu vingi sana wanaume wataviangalia ukiacha hilo jingine......!adhawaisi mtakuwa watu wakuhuzunishwa 24/7 na mtakuwa watu wa kuwalalamikia wanaume 24/7.
I mean hilo swala la sex lije baadae sana lakini lisigeuke kuwa muhimili wa mahusiano yenu!shauri zenu bwana mi nishawaambia.....!
Ka-uzoefu kangu kadogo ambako hapa jamvini watu wengine wamekuwa ''akikakrash'' kwamba ooh sijui mwezi tu mara wiki tu kamenifunza mambo mengi sana!ukishampa mwanaume hiyo habari kwa maana kwamba ''asikuache'' imekula kwako!kama unampa kwa maana ingine sawa lakini sio hilo
tafuteni mihimili mingine ya mahusiano yenu jamani sio hio mambo!......
Adios!
Off topic kidogo, wapendwa wana Jf, kuna yeyote humu ndani ana sababu zaidi ya sex ilomfanya akaingia kwenye mahusiano ya mapenzi? Samahani kwa nitakaye mkwaza
once niliingia kwenye mahusiano si sababu ya sex,it was Money!!!
Kuna baadhi ya ladies wana mtazamo tofauti. Mnapokuwa wapenzi atakuwa free na wewe kwa kila kitu lakini ukimueleza habari za sex mnagombana. Wao wanachukulia kwamba ukishamlamba unakula kona mbaya, so dawa ni kukunyima ili muendelee na mahusiano. Kama mapenzi yako ni ya kweli utakuwa mvumilivu, na huenda soon au later ukatangaza nia...!!
Off topic kidogo, wapendwa wana Jf, kuna yeyote humu ndani ana sababu zaidi ya sex ilomfanya akaingia kwenye mahusiano ya mapenzi? Samahani kwa nitakaye mkwaza
You either Take it Or Leave It!lakini naomba mtupe nafasi ya kuwashauri.....!
inawezekana sio wote,au si wewe unaesoma hii thread lakini WENGI WENU wana udhaifu mmoja mkubwa sana na MDOGO SANA kwenye hii habari ya mahusiano.....!
ni hivi:
kuna vitu huwa mnavifanya kwenye mahusiano ''machanga'' mkidhani kwamba vinaweza kuwa hamasa ya kumshawishi mwanaume aendelee kujiweka!KUMEKUWA NA TABIA FULANI YA KUJIKABIDHISHA KI-NGONO KWA MWANAUME na kuifanya kama ''bid security'' ya hayo mahusiano.nimeangalia kwenye thread fulani lediiz kadhaa wameweka bayana kwamba wanapenda SEX sana tu!okay sijakataa.lakini naomba muibadilishe kidogo hiyo dhana!......
kuna vitu vingi sana wanaume wataviangalia ukiacha hilo jingine......!adhawaisi mtakuwa watu wakuhuzunishwa 24/7 na mtakuwa watu wa kuwalalamikia wanaume 24/7.
i mean hilo swala la sex lije baadae sana lakini lisigeuke kuwa MUHIMILI WA MAHUSIANO YENU!shauri zenu bwana mi nishawaambia.....!
ka-uzoefu kangu kadogo ambako hapa jamvini watu wengine wamekuwa ''akikakrash'' kwamba ooh sijui mwezi tu mara wiki tu kamenifunza mambo mengi sana!ukishampa mwanaume hiyo habari kwa maana kwamba ''asikuache'' imekula kwako!kama unampa kwa maana ingine sawa lakini sio hilo
TAFUTENI MIHIMILI MINGINE YA MAHUSIANO YENU JAMANI SIO HIO MAMBO!......
adios!
yule babu yetu....:bathbaby:
Kazier umebadili Avatar,umekuwa mbaya....We mbongo bana tena mweusi hebu tuwekee za hapa hapa