Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

Mishahara mibovu gani yet daktari wa Kenya analipwa mara dufu ya madaktari wenu wanavyolipwa? Hawa madaktari wa Kenya wanagoma kwa sababu ya tamaa ya pesa lakini tayari wanalipwa pesa nyingi. Hata walimu wa Kenya wanalipwa pesa nyingi kushinda walimu wenu. Hawa walimu wa Kenya wanagoma tu kwa sababu ya tamaa ya pesa ambayo kila binadamu anayo.
Pesa ya Kenya ina thamani kuliko pesa ya Tanzania (pamoja na ya Japan pia).

Lakini sokoni pesa ya Kenya ni dhaifu sana.
Ndio maana wakenya wanalipwa pesa yenye thamani lakini maisha yao ni duni kuliko wenzao wa Tanzania.
 
Kwetu huku tulishasahau kuhesabu MBs, nakumbuka nikiwa Bongo nilikua kila mara natuma ujumbe wa kujua zimesalia MB ngapi, ila huku ni mwendo wa kuteleza tu, natazama movies kwenye Netflix hadi zimenichosha.
[emoji2][emoji2]but safaricom knows you better.
isingekuwa na demand isingewekwa hapa.
Screenshot_20210117-125621.jpg
 
Na deni la taifa la Kenya ni mara ngapi ya deni la Tanzania? Isijekuwa uchumi wenu umepakatwa na hela za wanaume wengine.

Elimu ya Kenya inazalisha kitu gani ambayo elimu ya Tanzania haizalishi?

Kijeshi? Jeshi la Tanzania lina historia ya kutunza Amani nchi nyingi za Africa na nje ya Africa. Jeshi la Kenya limeolewa na wahuni wa Somalia.

Hata kingilishi chetu kime improve, ndio maana tunaweza kusema "we're on ze light truck".
kikubwa ni kuipita tz basi yeye kwake inatosha[emoji38][emoji38][emoji38].

kajinga hako kajamaa.
 
Sisi wengine wetu tunatumia wi-fi. Wi-fi hakuna kuangalia umetumia MBs ngapi. Unateleza nayo bila kuangalia nyuma
mnataka kudanganya watu hapa kwamba kila mmoja wenu ana uwezo wa kununua bundle unlimited!![emoji23][emoji23][emoji23].

huo ndio uongo ambao siutaki mimi.
 
mnataka kudanganya watu hapa kwamba kila mmoja wenu ana uwezo wa kununua bundle unlimited!![emoji23][emoji23][emoji23].

huo ndio uongo ambao siutaki mimi.
Obviously sio kila mtu anaweza kuafford unlimited data package. Lakini ukiwa na router na ISP basi unalipa tu ksh 1,000 kila mwezi na unapata package ya 5 MBps. Ukiwa na pesa zaidi unaweza kulipa ksh 2,000 na kupata 10 MBps. Elfu moja hata Mkenya wa kawaida anaweza kupata. Ni vile tu watu wengi wamekwama na Safaricom kwa sababu hawajui kwamba wanaweza kupata cheaper internet ambayo ni unlimited wakiwa na cable internet kwa nyumba. Hii fibre optic imefanya internet ikuwe cheap na ikuwe unlimited. Mimi hio cable internet nimeiconnect na router ili niweze kutumia wi-fi kwa simu na kompyuta.
 
Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo...
===============================

Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic recovery after surpassing December 2020 tax targets by over Ksh2 billion.

A statement seen by Kenyans.co.ke showed that the taxman collected Ksh166 billion against a target of Ksh164 billion recording a performance rate of 101.3 percent.

The document further indicated that KRA made history in the Customs and Border Control Department which collected a total of Ksh60.8 billion, its highest ever.

KRA Commissioner General Githii Mburu disclosed that the milestone was the first-ever positive deviation the authority had recorded since the pandemic hit the country in March 2020.


“This was the first positive and above target collection rate since the outbreak of Covid-19 pandemic.

"The improved performance is attributed to the economic recovery following the relaxation of the stringent Covid-19 containment measures and enhanced compliance efforts by KRA in December." stated Mburu.
  • The Customs Department, with the historical collection, realised a 41 percent growth with a surplus of Ksh12.2 billion in targeted revenue.
    “This resulted in a cumulative surplus for customs revenue of Sh3.8 billion at the end of December 2020, compared to a deficit of Sh8.4 billion as at the end of November 2020," continued Mburu.
    The performance was largely attributed to the relaxation of tax measures that had been put in place by President Uhuru Kenyatta to cushion Kenyans from the effects of Covid-19 pandemic.
    Withholding tax crossed target by as much as Ksh725 million while corporate taxes missed the target by more than 6 percent.
    In 2021, the taxman is expected to increase the revenue collected after the taxation measures including VAT and PAYE were restored beginning January 1.
    Other taxes such as turnover and digital are also expected to boost the authority's revenue.
    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020.

    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020
    SIMON KIRAGU
    KENYANS.CO.KE
Maskini akipata matako hulia mbwata
 
Na deni la taifa la Kenya ni mara ngapi ya deni la Tanzania? Isijekuwa uchumi wenu umepakatwa na hela za wanaume wengine.

Elimu ya Kenya inazalisha kitu gani ambayo elimu ya Tanzania haizalishi?

Kijeshi? Jeshi la Tanzania lina historia ya kutunza Amani nchi nyingi za Africa na nje ya Africa. Jeshi la Kenya limeolewa na wahuni wa Somalia.

Hata kingilishi chetu kime improve, ndio maana tunaweza kusema "we're on ze light truck".

Halafu nilishangaa sana kuona nyie pamoja na huo umaskini wenu mnazidi kukopa, mindege inakamatwa kwa kushindwa kulipa madeni ya watu...
 
[emoji2][emoji2]but safaricom knows you better.
isingekuwa na demand isingewekwa hapa.View attachment 1679563

Mimi nateleza kwa kitu kinaitwa Zuku, yaani unlimited, tafuta mtu akutafsirie nini maana ya unlimited.....kazi zangu nafanyia kwenye cloud bila kuwaza chochote kinachohusu internet
 
Halafu nilishangaa sana kuona nyie pamoja na huo umaskini wenu mnazidi kukopa, mindege inakamatwa kwa kushindwa kulipa madeni ya watu...
Deni zao huwa sio za kukopa pesa bali huwa wamefurusha kampuni ya Mbeberu bila kufuata sheria. Ile ndege iliyokamatwa Canada ilikuwa ni kwa sababu walifurusha Kampuni ya kibeberu bila kufuata sheria halafu beberu akakimbia mahakamani na kushinda kesi. Ile ya SA vile vile walimnyang'anya beberu shamba lake bila kufuata taratibu za kisheria. Huwa Nashindwa kwa nini hawa watu hawawezi kufuata sheria wanapocancel contracts za investors. Wana ushamba sana hawa watu wa kusini.
 
mnataka kudanganya watu hapa kwamba kila mmoja wenu ana uwezo wa kununua bundle unlimited!![emoji23][emoji23][emoji23].

huo ndio uongo ambao siutaki mimi.

Buku ya Kenya nani hana uwezo huo huku, labda wale omba omba wenu huja huku, ila kwa misaada ambayo huwa tunwapa lazima wana uwezo huo.
 
Deni zao huwa sio za kukopa pesa bali huwa wamefurusha kampuni ya Mbeberu bila kufuata sheria. Ile ndege iliyokamatwa Canada ilikuwa ni kwa sababu walifurusha Kampuni ya kibeberu bila kufuata sheria halafu beberu akakimbia mahakamani na kushinda kesi. Ile ya SA vile vile walimnyang'anya beberu shamba lake bila kufuata taratibu za kisheria. Huwa Nashindwa kwa nini hawa watu hawawezi kufuata sheria wanapocancel contracts za investors. Wana ushamba sana hawa watu wa kusini.

Ndio mifumo ilivyo ya kijamaa, yaani hutaka wafanane wote na kuishi maisha ya dhiki, hukwamishana sana.
 
Halafu nilishangaa sana kuona nyie pamoja na huo umaskini wenu mnazidi kukopa, mindege inakamatwa kwa kushindwa kulipa madeni ya watu...
Madeni ya Tanzania yanaweza kusawazishwa kwa ndege moja.

Ipo siku wadeni wenu watagawa nchi katikati na kujimilikisha.
 
Buku ya Kenya nani hana uwezo huo huku, labda wale omba omba wenu huja huku, ila kwa misaada ambayo huwa tunwapa lazima wana uwezo huo.
Kwa buku ya kenya nikija Bongo napata GB 14 ya internet na ni 4G.

Kwenye makusanyo yenu ya mwezi hebu niambie huwa mnakusanya sh ngapi kikawaida? Hivyo hiyo trilioni 3.6 nanyi mmevunja rekodi yenu ya ukusanyaji?
 
Mishahara mibovu gani yet daktari wa Kenya analipwa mara dufu ya madaktari wenu wanavyolipwa? Hawa madaktari wa Kenya wanagoma kwa sababu ya tamaa ya pesa lakini tayari wanalipwa pesa nyingi. Hata walimu wa Kenya wanalipwa pesa nyingi kushinda walimu wenu. Hawa walimu wa Kenya wanagoma tu kwa sababu ya tamaa ya pesa ambayo kila binadamu anayo.
Unfortunately, Kenya is among the very poor paying countries, Tanzania Tops the list of Countries with best Slaries in East Africa,
6th in Africa.
Nyie ni makapuku tu.
 
Kwa buku ya kenya nikija Bongo napata GB 14 ya internet na ni 4G.

Kwenye makusanyo yenu ya mwezi hebu niambie huwa mnakusanya sh ngapi kikawaida? Hivyo hiyo trilioni 3.6 nanyi mmevunja rekodi yenu ya ukusanyaji?

Ahha wapi bei zenu mbona naziona hapa Welcome : Home
Halafu hovyo sana eti siku saba, maana zikiisha siku saba kama hukua umetumia hizo MBs zinakupotea, huku ukinunua mpaka siku utatumia MB ya mwisho.
 
Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo...
===============================

Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic recovery after surpassing December 2020 tax targets by over Ksh2 billion.

A statement seen by Kenyans.co.ke showed that the taxman collected Ksh166 billion against a target of Ksh164 billion recording a performance rate of 101.3 percent.

The document further indicated that KRA made history in the Customs and Border Control Department which collected a total of Ksh60.8 billion, its highest ever.

KRA Commissioner General Githii Mburu disclosed that the milestone was the first-ever positive deviation the authority had recorded since the pandemic hit the country in March 2020.


“This was the first positive and above target collection rate since the outbreak of Covid-19 pandemic.

"The improved performance is attributed to the economic recovery following the relaxation of the stringent Covid-19 containment measures and enhanced compliance efforts by KRA in December." stated Mburu.
  • The Customs Department, with the historical collection, realised a 41 percent growth with a surplus of Ksh12.2 billion in targeted revenue.
    “This resulted in a cumulative surplus for customs revenue of Sh3.8 billion at the end of December 2020, compared to a deficit of Sh8.4 billion as at the end of November 2020," continued Mburu.
    The performance was largely attributed to the relaxation of tax measures that had been put in place by President Uhuru Kenyatta to cushion Kenyans from the effects of Covid-19 pandemic.
    Withholding tax crossed target by as much as Ksh725 million while corporate taxes missed the target by more than 6 percent.
    In 2021, the taxman is expected to increase the revenue collected after the taxation measures including VAT and PAYE were restored beginning January 1.
    Other taxes such as turnover and digital are also expected to boost the authority's revenue.
    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020.

    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020
    SIMON KIRAGU
    KENYANS.CO.KE
Mnamchanganya JIWE
 
Ahha wapi bei zenu mbona naziona hapa Welcome : Home
Halafu hovyo sana eti siku saba, maana zikiisha siku saba kama hukua umetumia hizo MBs zinakupotea, huku ukinunua mpaka siku utatumia MB ya mwisho.
Huo ni mtandao mmoja voda pekee chief. Halafu hizo bando unachagua tu mwenyewe. Ya siku wiki mwezi n.k na zipo ambazo hazina limit ya muda. Bongo internet ni very cheap na kasi ipo ya kutosha.

Huku bando inatumiwa haswa maana watu wana stream video haswaa..na pia mitandao inayokula data kwa wingi kama YouTube, Instagram, tik tok n.k huko wabongo wamejazana sana. 15G kuisha in a month ni kitu ya kawaida sana. Na hiyo ni buku tu ya kenya
 
Back
Top Bottom