The Industry
Senior Member
- Sep 1, 2012
- 117
- 30
Karibu mkuu, ila hayo maneno yenye red hayajakaa kibiashara kabisa, unless uwe unauza for leisure na sio kwa ajili ya biashara na kupata faidaHabari zenu waheshimiwa, kwa kifupi naomba msaada kwa yeyote anaye fahamu ni viwanda gani kwa dar wananunua dagaa wa mwanza kwaajili ya kutengenezea chakula cha kuku, plz nisaidieni nataka kuanza ku supply kwa kiasi kikubwa, na kwa wale watengenezeji wadogo wadogo pia tunaweza kufanya kazi.
mcheki huyu jamaa 0766951391 au 0684995484 huwa anachukua dagaa hawa direct kutoka Mwanza anakuja kusuply DarHabari zenu waheshimiwa, kwa kifupi naomba msaada kwa yeyote anaye fahamu ni viwanda gani kwa dar wananunua dagaa wa mwanza kwaajili ya kutengenezea chakula cha kuku, plz nisaidieni nataka kuanza ku supply kwa kiasi kikubwa, na kwa wale watengenezeji wadogo wadogo pia tunaweza kufanya kazi.
Biashara inaendeleaje?Habari zenu waheshimiwa, kwa kifupi naomba msaada kwa yeyote anaye fahamu ni viwanda gani kwa dar wananunua dagaa wa mwanza kwaajili ya kutengenezea chakula cha kuku, plz nisaidieni nataka kuanza ku supply kwa kiasi kikubwa, na kwa wale watengenezeji wadogo wadogo pia tunaweza kufanya kazi.