Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Hata sijui nisemeje mnielewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi kabila za ukanda huu aisee acha tu. Wairaq acha kabisa ndugu yangu.Wanyaturu & wambulu typing....
kumbuka kuwa wamezidi dawasco kwa kutoa hudumaHata sijui nisemeje mnielewe.
Pale mtu wa kanda ya ziwa anapoona rangi nyeupe ina mchanganya 😂😂Hata sijui nisemeje mnielewe.
Noma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.Ila pia ni wakarimu mno. Ukioa elewa umeolea kijiji, na ubahatike kupata ambae hajatolewa ki antenna.
Yaan unamwagalia mdada mpaka unajiuliza huyu alizaliwa? Kila kitu kipo 100%Hizi kabila za ukanda huu aisee acha tu. Wairaq acha kabisa ndugu yangu.
Unamuacha atesekePale mtu wa kanda ya ziwa anapoona rangi nyeupe ina mchanganya 😂😂
Ukijipanga fresh unaweza kula nyumba nzima kuanzia mama mpaka watoto wake.Noma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.
Kwakuwa umempta na amekupenda......?Hata sijui nisemeje mnielewe.
uongo, huwa wana uzuri wa sura na rangi. Viguu kama spok za baiskeli.Yaan unamwagalia mdada mpaka unajiuliza huyu alizaliwa? Kila kitu kipo 100%
Mpaka nimejikuta naanzisha Uzi ni hatari aisee.Yaan unamwagalia mdada mpaka unajiuliza huyu alizaliwa? Kila kitu kipo 100%