Dah, aisee Warangi wazuri sana

Dah, aisee Warangi wazuri sana

Noma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.
Madawa hajamuachaga mtu salama na utakoma hutomuacha daima labda uwe mlokole , usioe wafuatao , wambulu general, warangi , wapare , wachagga hawa kwa uchawi au kuuwa ni rahisi tu na waluguru sasa kajichanganye , hata wadada wote wakigoma acha kabisa hawafai . Huwezi kuishi nao kama nakudanganya muoe mrangi familia yako yote watafukuzwa . Tena wewe mwenye pasipo kujua
 
Wanaokaaa babati huku sio wazuri kama wanaotokea mbulu, haydom na huku Singida.....ndo maaana nliandika wambulu

Umenielewa we garma😁Kijana
Mzee hizo mistake zipo siku zote. Kubali kukosolewa. Hakuna watu hapa Tanzania wanaitwa wambulu.

Mbulu huyu hapa
1721455863360.png
 
Back
Top Bottom