Dah, aisee Warangi wazuri sana

Noma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.
Madawa hajamuachaga mtu salama na utakoma hutomuacha daima labda uwe mlokole , usioe wafuatao , wambulu general, warangi , wapare , wachagga hawa kwa uchawi au kuuwa ni rahisi tu na waluguru sasa kajichanganye , hata wadada wote wakigoma acha kabisa hawafai . Huwezi kuishi nao kama nakudanganya muoe mrangi familia yako yote watafukuzwa . Tena wewe mwenye pasipo kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…