Dah, aisee Warangi wazuri sana

Umekariri maisha hilo ndio tatizo.
External environment ndio inachagiza ukuaji wa tabia za mtu.
Inategemea mtu amekulia wapi ama katika jamii gani.
Mke nilomuoa kakulia sehemu mbili,Salanda Singida kesha akalelewa Tanga.
Asilimia kubwa ya malezi yake ni ya Tanga.
Na nadhani unajua makuzi na malezi ya Tanga yakoje.
-Hivi unajua kuwa ninaishi na mkewangu nyumbani kwa wazazi wangu!?Na mkewangu alikataa tutoke nyumbani na tunaishi home na wazazi na familia nzima kiupendo.
-Familia ya mkewangu ina upendo kiasi inakaribisha hata ndugu zangu wa mbali majumbani kwao wakienda Tanga ama Singida.
Kiufupi makuzi ya Tanga ndio yalomkuza vema mkewangu ni mke mtiifu,msikivu,anapenda ndugu kiasi anatetea hata wadogo zangu wakikosea ama wakinikosea.
Japo cha mwisho sikatai mimi ndio mtoto pekee wa kiume hivyo mamlaka ya nyumba amepewa mkamwana wa familia ambaye ni mkewangu.Nyumba anaendesha yeye ila ni wazazi ndio wametaka.
Maana hata mkewangu wakwanza na wapili walipewa mamlaka hayo hayo ya kuendesha nyumba.
-Hata huyo Mnyaturu mtafute mnyaturu wa ndanindani huko uone balaa lake,ni malaya na washirikina vile vile.
Usikariri maisha hao unaosema unakaa nao mimi naishi nao hadi sasa.

Halafu mimi sio mwepesi hivyo ndugu yangu.
Mie nimeoa makabila magumu huwezi amini.
Mke wa kwanza mchaga mixer mmarangu Machame wa pili mzigua.
Waliroga wao wakashindwa AISEE😂😂😂😂.
 
NAkuaminia bossy
 
Hovyooo ni wewe umeshalipewa limbwaata hujioni na sura mbaya kama manati ya fundi maiko ,unalisura baya ndio maana unawaona warangi wazuri warangi wamekomaa ukiwapiga na mawe hawasikii . Jinsi walivyokomaa
Punguza wivu na makasiriko ulitaka tukusifie wewe wakati huna hata cha kusifiwa shwain...!

🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…