Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
- #221
Hapo lazma una lako jambo shekhe.Nyie wazuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo lazma una lako jambo shekhe.Nyie wazuri sana
Wazaramo waache kama walivyo shekhe.Mnataka kusema tuliokua na wazaramo tujitizame au
Nasifia kwa ujumla.Hapo lazma una lako jambo shekhe.
Hebu weka picha tuone basi jmn...!Wabena,,ila tumekomaa vigimbi
ucheke vizur sioHebu weka picha tuone basi jmn...!
Kweli uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu...! 😅Warangi rangi ndio inawabeba.
Ila wana nywele vipilipili hazikui pia wana sura za kukomaa.
Yani wanawahi kuzeeka.
Wazuri WAIRAQWI/WAMBURU BHANA.
Kabila lile Mungu kajua kuliumba.
Na jamii ya pili WANYATURU.
KATIKA haya makabila mrangi haingii hata robo.
kuna mrangi mmoja humu jf.. alinipea anajua ifinyia ndani aises.. sijawai kutana na mtu ajuae finyia ndani kama huyo alafu ni pisi moya matata sasa.. ilipo niacha niliweweseka miezi mitatuHata sijui nisemeje mnielewe.
Hili nalo jipya...!Hao wamekua na rangi na ushombe huo kwasababu wamezaana sana na wanyaturu na wairaqi.
Ila wenyewe kama wenyewe hawana ushombe hata kidogo.
Wapo kama wamwasi tu.
Wawashukuru wanyaturu wamewachanganyia damu.
Ndio Maana nikasema kwa niaba ya Michuzi Jr. nimetoa kwenye blog yake alikuwa anawazungumzia warangi akaweka hiyo pic.Hawa WAETHIOPIA MKUU.
Sio warangi hawa😂😂😂😂😂.
Ulipookota picha wamekupiga.
Dah, ila maraia mna maneno aisee...!Watu wema sn hao, mademu watamuu halafu mizinga ya kishkaji...ila uwe mpole maana foleni ni ndefu!.
Kuna m1 mke wa mtu nilikuwa nala kumbe anamichepuko mingine kibao nje nikaanza mambo ya wivu akanitosa...alikuwa na k tamu sijawahi kuona tena...yaani iko hapo juu juu kama imeegeshwa vile!.
Hahahaha wamenihurumia hawajanitesa mkuu.Ngoja tukuache uteseke!!
Huyo mwanamke ana wivu kama kachukuliwa bwana aisee. Loh.Naongea ninachokiishi.
Mkewangu baba Mbulu/muiraqwu mama mnyaturu.
Nimeoa niko nae tuna miaka miwili naaa na tunatarajia mtoto.
Sijaona unachosema na ana familia yenye dini mashaallah labda kwasababu wamekua TANGA.
Nina mama wadogo na wajomba waluguru na nipo kwa hapa sasa hivi wako too loyal and supportive.
Wakoje tabia zao mkuu...?Huwajuwi Vizuri Tabia Zao
ukiona kimorison aseee 😂Jamani nacheka kisa nini sasa my dear...?
🤣🤣🤣
Kwa nini usitumie nguvu ya umma mzee...?kuna mrangi mmoja humu jf.. alinipea anajua ifinyia ndani aises.. sijawai kutana na mtu ajuae finyia ndani kama huyo alafu ni pisi moya matata sasa.. ilipo niacha niliweweseka miezi mitatu