Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
πππππππKama hana D2 hawezi kuelewa. π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππKama hana D2 hawezi kuelewa. π€£
Na ma soap dish yakeHoi Bin Taaban...! π
Mie hata sijui kama limeeleweka kiongozi...! πHivo hivo lakn swali si limeeleweka ππ
Mara paaaaap. Huyu...! π€£Ghafla bin vuuu π
Naunga mkono hoja wengi hawana adabuAcha tu kwanza hawajui wanataka nini wengi wanajichubua na wanapenda madawa tunawajua hata wambulu teye na dhani ni ke na ni mrangi anahasira sana
Mzee wa kuwekewa ushahidiMara paaaaap. Huyu...! π€£
Hapa hafukuzwi mtu my dear. πKama kuku,,shiiii shiiii
mzee sasa tuachie vijanaNipo humu since 2011 hadi Leo ππππ
Eh maana anakutawala sio unamtawala halafu unaweza letewa mtu ndani halafu unakenua tu kama mazuri unamfukuza leo humtaki kesho unamrudia weweNaunga mkono hoja wengi hawana adabu
Na ni wachawiEh maana anakutawala sio unamtawala halafu unaweza letewa mtu ndani halafu unakenua tu kama mazuri unamfukuza leo humtaki kesho unamrudia wewe
πBasi sitatumaHapa hafukuzwi mtu my dear. π
Yah akitoa sadaka lazima abarikiwe.Hatoi sadaka huyo kazi kusikiliza maombi, hajui wanabarikiwa wengine.
Bila hodiMara paaaaap. Huyu...! π€£
Wee neng'eneka tu ila cha moto utakiona...! πAcha tu kwanza hawajui wanataka nini wengi wanajichubua na wanapenda madawa tunawajua hata wambulu teye na dhani ni ke na ni mrangi anahasira sana
kuna ujumbe wako apa Ms RYah akitoa sadaka lazima abarikiwe.
Kama Fidel Castro vile...! π€£πππππππ
Unadeka?niache bwan wew
Noma sana mzee baba.Na ma soap dish yake
Wewe upo mkoa gani huo kwani?Hata sijui nisemeje mnielewe.