Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
- #341
Nahesabu tu kama Furry na Joshua. 😂Naunga mkono hoja wengi hawana adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahesabu tu kama Furry na Joshua. 😂Naunga mkono hoja wengi hawana adabu
Lazma ukamatike tu...! 😅Mzee wa kuwekewa ushahidi
InavooneknHahahaha hamna kitu kama hiyo aisee...!
🤣🤣🤣
Atuachie vijana bhana...! 🤣mzee sasa tuachie vijana
Unacheza kama Nape mzee baba. 😂Na ni wachawi
Jamani sasa kwa nini nikufukuze my...? 😅😂Basi sitatuma
Yaaaani kama ulikuwa unavaa si ingekuwa aibu tupu jmn...! 🤣Bila hodi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaaaani kama ulikuwa unavaa si ingekuwa aibu tupu jmn...! 🤣
Nipo Wilaya ya Kondoa mjini mkuu.Wewe upo mkoa gani huo kwani?
Nitazifungua nikiwa nimetulia my dear. 😂Mbona chache hizo,,hapo utakutana na likes za raraa reree na min -me
Sawa sawaNitazifungua nikiwa nimetulia my dear. 😂
Dah wazee wa shots on target...! 😅Ujanikosea
😂Dah wazee wa shots on target...! 😅
Hebu weka picha hapa nithibitishe kama NA HAPA IPO...! 🤣Ww hao uliokutana nao flat itakuwa wa kibosho, ila marangu mishape km yotree 😹😹😹
Noma sana mzee baba kama risasi iliyoelekezwa kwa Trump...! 😂😂
noma bin unusuNoma sana mzee baba kama risasi iliyoelekezwa kwa Trump...! 😂
Bin unusu na robo bado robo tu iwe kitu kamili.noma bin unusu
Mrangi akikunyima maQu kaoge maji ya bahariSio kivipi mkuu...?