Dah arusha arusha

Dah arusha arusha

Dah shukran mkuu..wewe umenisoma kabisa mkuu..wadau wanadhan natafuta prostitute kumbe wala..mapenzi ya masharti Nanni anataka...wala hamna hela za mawazo hapa mkuu..
Triple A, Utanuka Jasho tu, Nyomi kubwa, Hadi Parking Za Magari Shida, Nenda Mahali Kama The Dons Kule Njiro, Kokoriko Kule Moshono Na Sehemu Kama hizo, Hutaamini Macho Yako, Ila Usiwe Na Hela Ya Mawazo
 
Nimekuja kutembea kidogo arusha niambieni viwanja gan vizuri ambapo naweza hata ona warembo jamani

Kama wewe mrembo na uko arachuga njoo pm nikuelekeze nilipo tukale bata kidogo. Strictly warembo..
Kwani usingemchukua Wema SEBEDE au HAMISA MOBEDE kutoka Darasalade mpaka huku kwetu NGALIMI au NGAREROOOO? Njoo Tu print hadi MATEJOO tucheck NJARO na MAFEKECHE mwendo wa NGIRI ARIFU.
 
Dah shukran mkuu..wewe umenisoma kabisa mkuu..wadau wanadhan natafuta prostitute kumbe wala..mapenzi ya masharti Nanni anataka...wala hamna hela za mawazo hapa mkuu..
Watoto, Unapata Huko Huko, Light Skin Za Kutosha, Hawajivhubui, Na Sio Fake , Wanang'aa Kama Wanaogea Maziwa
 
Wakuu msaada samahani, *eti chips kuku bei gani kama nitakuja na kuku wangu?*
 
Halafu naona kama watu hawajanielewa sitak prostitute ..nataka mdada tu wa Ku spend nae ambaye yupo single itapendeza zaidi ili akiwa na Mimi atakua free
Huyo prostitute na asiye prostitute utawatofautishaje wakija?
 
Nitawajua tu mbona hua wanajionyesha tu
Ikiwa hili tangazo lako wanalisoma wote kahaba na asiye kahaba unahisi hawezi kuja kwa mtazamo wa kuwa sio kahaba na usimtambue na pia yakatokea hayo usiyoyapnda mbele ya safri
 
Back
Top Bottom