Dah! Boko anabaki, Mkude anaondoka

Boko Haram angeachwa tu akajiunge Boko veteran ili angalau msajili wachezaji watakaowasaidia kushika nafasi ya tatu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
no kweli Bocco kaongoza ila sabilo angekuwa Simba inawezekana angemwacha mbali , maana Simba ndio timu inayoongoza kutengeneza nafasi.
Sabilo sio Striker

Lakini hata Kyombo watu walisema hivyo hivyo lakini alivyokuja wote tumeona
 
Kwa watu wasiojua ni kwamba hakuna mshambuliaji mzawa anae weza kumzidi john boko na ndio sababu papaa ataendelea sana kuwepo simba kama mchezaji mzawa.

Kwa wasiojua mpira ndio wata beza na kumkejeli boko kwamba Aondoke. Lakini wanashindwa kujua tangu boko Aondoke Pele Azam Hawaja wai kupata mshambuliaji mzawa bora kama papaa boko.

Watanzania tuache dharau. Boko ni Mchezaji mzuri sana ila alikosa mawinga wazuri wakumlisha mipira kama misimu 3 iliyopita.

Tuchunge midomo yetu maana kwa usajili unaoendelea kufanywa John Atarudi kwenye Ubora wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…