Mkuu mwambie dogo uhandisi sio lele mama someni sio complain tu!siku hizi nasikia mnacarry nafuu ukubwa!enzi hizo foe ngoma tatu hamna mjadara!alikuwepo segu,ishengoma,mayo,owen na rubaratuka na mmoja wa mchoro. Yaani utatokea wapi!siku hizi poa sana
Mkuu unasoma bachelor of economics au engineering? au ulidisco coet?
mkuu unasoma nn udsm?
malecture wakibongo wakiendele kuwapigisha misuli yatima na kuwafelisha cha kujifia nini? Nendeni vyuo vya private kama st.joseph na n.k muwaone hao hao malecture wanavyowapa vitu vya ukweli na gpa nzuri endapo tu ukiendeleza bidii yako me nachukia sana shule za serikali kuanzia o-level mpaka a-level mpaka vyuoni japo nimezisoma mpaka yaani wabongo wenzetu wana wivu kweli wanatufelisha na kutufanya tuone mambo magumu wakati techniques zote za kutuwezesha tupasue gpa nzuri wanazo hii ni too much utafkiri hivyo vyeti tutaendanavyo mbinguni au motoni
Kinachonishangaza Mimi Yoote hayo wameeanza kuyafanya tangu Chuo Kimeanzishwa lakini mpaka leo Hata Transistor tu hatuwezi kutengeneza, ukienda Tanelec Arusha ambako wanatengeneza Transformer wanaajili wageni kwa kuwa hawapati wahandisi wa ndani waliopikwa na kuiva... sasa sijui Hizo GPA huwa zinaishia wapi!
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
mimi nimesoma coet ila hiyo kitu sijawahi kushuhudia. Poleni, kazaneni tu hiyo shule si mchezo.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
MKUU ameandila from exp,usijaji degree yake zaidi,..Angalia kwa makini hilo neno lenye red kwenye posting yako, wakifanya hivyo si ndio watafeli wote!!
endelea kubwabwaja maneno bila kusoma tatizo watoto wa UDSM kulia lia kwingi shule hakuna. muwaulize wezenu waliokuja kwenye soko la ajira za makampuni ya mafuta kama schlumberger, hullibuton, beker hughers na BG Group tulivowagaragaza vijana kutoka UDOM petroleum engineering hatuna utani na maneno mengi sisi endeleeni kuongea na kubebwa na jina huku vijana tunafanya yetu swala si chuo siku zote nasema swala ni unapambana kiasi gani kuhakikisha unapata ujuzi wakutosha waajiri wa siku hizi hawaajiri jina la chuo wala kozi wanaangalia uwezo wa mtu binafsi. karibuni BG Group na mwaka huu pia muone vijana walivo nondo kutoka udom.