Dah! Hili la kuwaua washukiwa wa ugaidi nawahapa hongera Tanzania

Dah! Hili la kuwaua washukiwa wa ugaidi nawahapa hongera Tanzania

Sasa hapo aliyeuawa kwa kujibizana risasi na polisi ulitegemea nini, apewe chakula cha jela na kupotezea watu muda wa kesi kotini. Yaani ukinyanyua bastola na kuanza kuwafyatulia polisi risasi, hamna haja ya wewe kuishi tena. Wapigwe, tena risasi za kichwa na kuhakikisha wamekufa kabisa.

Mtuhumiwa sahihi ni yule anayejisalimisha kwa polisi kwa njia za amani. Ndio hapo utaeleweka na kupelekwa mahakamani ukawazuge watu na kesi zisizoisha na mawakili wachumia tumbo.
Kwa mara ya kwanza makubaliana na wewe
 
Hivi si mtaua watu wasio na hatia
"Mtuhumiwa " which means ma police hawana
Uhakika kama ni wao wenye kosa au La.

Kwa hili sikubali nalo.

mtu umepambana nae kwa silaha, nayeye anajibu mapigo bado unamwita mtuhumiwa? "hakuna polisi jamii kati ya jambazi/gaidi na polisi"
 
Back
Top Bottom