Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mara ya kwanza makubaliana na weweSasa hapo aliyeuawa kwa kujibizana risasi na polisi ulitegemea nini, apewe chakula cha jela na kupotezea watu muda wa kesi kotini. Yaani ukinyanyua bastola na kuanza kuwafyatulia polisi risasi, hamna haja ya wewe kuishi tena. Wapigwe, tena risasi za kichwa na kuhakikisha wamekufa kabisa.
Mtuhumiwa sahihi ni yule anayejisalimisha kwa polisi kwa njia za amani. Ndio hapo utaeleweka na kupelekwa mahakamani ukawazuge watu na kesi zisizoisha na mawakili wachumia tumbo.
Hivi si mtaua watu wasio na hatia
"Mtuhumiwa " which means ma police hawana
Uhakika kama ni wao wenye kosa au La.
Kwa hili sikubali nalo.