Dah! Huyu Zitto akiwa rais wa Tz lazima tukae, ni kichwa sana

Dah! Huyu Zitto akiwa rais wa Tz lazima tukae, ni kichwa sana

Zitto is just another useless lawyer with zero proven work ethic. It's only in Africa where smooth talking but useless lawyers make it in politics.

While China is making use of scientists, engineers etc in politics, we keep electing people who only talk and produce nothing!!!!

Magufuli achape kazi!!
 
Zitto is just another useless lawyer with zero proven work ethic. It's only in Africa where smooth talking but useless lawyers make it in politics.

While China is making use of scientists, engineers etc in politics, we keep electing people who only talk and produce nothing!!!!

Magufuli achape kazi!!
Umeongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ka chama ka Zitto kabwe kila mwaka kanapata hati chafu kutoka kwa CAG

2. Uhalifu(Ubakaji) wa "Teleza" upo tu kwa Jimbo lake - Hawezi kaa chini na vijana wenzake awafundishe maadili mema

3. Ushawishi wake mdogo sana, maana ukikaa naye unajua ni mtu wa mdomo tu zero action hata Chadema walimfukuza
 
Wewe ushawishi wako huwezi shawishiii hata mulevi
1. Ka chama ka Zitto kabwe kila mwaka kanapata hati chafu kutoka kwa CAG

2. Uhalifu(Ubakaji) wa "Teleza" upo tu kwa Jimbo lake - Hawezi kaa chini na vijana wenzake awafundishe maadili mema

3. Ushawishi wake mdogo sana, maana ukikaa naye unajua ni mtu wa mdomo tu zero action hata Chadema walimfukuza

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Hahahahahaha wewe hujitambui, nikisema una uwezo wa kufikiri sawa na jiwe ni tusi au sifa kwako?
Zitto is just another useless lawyer with zero proven work ethic. It's only in Africa where smooth talking but useless lawyers make it in politics.

While China is making use of scientists, engineers etc in politics, we keep electing people who only talk and produce nothing!!!!

Magufuli achape kazi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika watu wenye akili HAWATAKIWI.

Ndio maana kina Tundu Lissu wanapigwa risasi 38 wakati kina Musiba, Lusinde na Musukuma ndio wanaopendwa na watawala.
Akili ipi anayo Chama limemfia kabaki peke yake, wewe Familia ya watu wa5 wamekushinda kuongoza unata upewe mtaa? Una kichaa
 
Kibaraka huyo usipagawe saana na maneno yake...

Anatumiwa na mataifa makubwa...
Nimetazama hii Youtbe video yote jamaa ana uelewa mkubwa sana wa masuala ya kichumi na mawazo mazuri, ukiitazama bila uchama au utaifa lazima utamkubali. Huwa napenda sana mijadala kama hii hata huku kwetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Akili ipi anayo Chama limemfia kabaki peke yake, wewe Familia ya watu wa5 wamekushinda kuongoza unata upewe mtaa? Una kichaa
Vyama vya upizani Tanzania vinapambana na Dola hata hapo walipofika wanajitahidi.
 
Ukiwa nje ya uwanja kila mtu ni intelligent na mjuaji, muingize uwanjani, kama unamuona Zito Kabwe ni intelligent basi nina wasi wasi na IQ yako, BTW sijaangalia huo ujinga.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom