Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Wakisha shika madaraka, hua wanabadilik kama vinyonga mkuu, hawaaminiki hao.Waah Huyu jamaa yuko very smart,
But Africa hii, hatuwezi ongozwa na smart people.
Dark continent
Kama yule aliyetuambia wkt wa kampeni nchi hii ina mapesa mengi,ni donor country.
Amepewa madaraka sasa,hata pesa za kuajiri hana.
Wakati wa kampeni walisema nchi itakuwa donor country, ila kwa sasa wanataka "kumshughulikia" kwa kukwamisha misaada ya pesa za wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu sana huna unalojua Zitto kawa lini Wakili??? Zitto ni mchumi, waulize walumumba wenzako kabla hujawatia aibu mitandaoniZitto is just another useless lawyer with zero proven work ethic. It's only in Africa where smooth talking but useless lawyers make it in politics.
While China is making use of scientists, engineers etc in politics, we keep electing people who only talk and produce nothing!!!!
Magufuli achape kazi!!
π π πMwenye ile video, Zitto akisema SGR imeishia Moro tu aiweke.
Kwani Dar imefika?Kwani hata hiyo Morogoro imefika?
Kwani Dar imefika?
Nimetazama hii Youtbe video yote jamaa ana uelewa mkubwa sana wa masuala ya kichumi na mawazo mazuri, ukiitazama bila uchama au utaifa lazima utamkubali. Huwa napenda sana mijadala kama hii hata huku kwetu.