Dah ila kumbe Wahaya wana dharau sana hivi jamani

Dah ila kumbe Wahaya wana dharau sana hivi jamani

[emoji23][emoji23][emoji23] wahaya Wana dharau na kibri,Kuna dada mmoja nimepanga naye aiseé anacheleweshaga Kodi hata mwezi cku mwenye nyumba akija kudai anatoka na hyo helaa alafu anamwambiaa mwenye nyumbaa ww badala ufate Kodi Yako unategemea mm ndio nikutafute , yaan niangaike Kutafuta Kodi na niangaike kukutafuta ww...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli bhana.
 
Back
Top Bottom