Imenitokea hivi punde tu. Nilijikuta napata chakula juu ya ukuta wa choo kilichowazi. Ajabu ni kuwa chakula chenyewe nimenunua kwa mama n'tilie anayeuzia nyumbani kwake na hapo juu ya choo ndipo nilipojikuta nimechagua kukaa.
Yaani nimeamka ghafla hapa, hata sielewi. Hata habari za makolo KUTOLEWA MBALI HUKO nimezisahau kwa muda.
Yaani nimeamka ghafla hapa, hata sielewi. Hata habari za makolo KUTOLEWA MBALI HUKO nimezisahau kwa muda.