Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,196
*Posho za Mwenge*
Mtumishi: baby
Mchepuko: yes baby wangu,nambie
Mtumishi: safi tu baby wangu...nikuombe kitu?
Mchepuko: bila shaka niombe tu bby si unajua sijawahi kukukatalia.
Mtumishi: bby ile milioni 1 nlokupa jana naomba nikuazime ntakupa tena siku ingine.??
Mchepuko: bby si umesema nkanunulie simu ingine nilipie lile gauni jekundu??
Mtumishi: ni kweli bby...lakini kwani we hujaskia tangazo la JPM??
Mchepuko: khaaa kwaiyo unamaanisha hii pesa ulonipa ilikuwa posho ya kwenda kwenye mwenge??
Mtumishi: ndio Baby[emoji18]
Mchepuko: hapa nina 4000 tu zingine nimetumia tayari labda nkupe hii?
Mtumishi: (kilio)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri,ukipata posho ya serikali kwa sasa usiitumie iweke kwanza mpaka upite mwezi mzima anything can happen!
Viva JPM
Mtumishi: baby
Mchepuko: yes baby wangu,nambie
Mtumishi: safi tu baby wangu...nikuombe kitu?
Mchepuko: bila shaka niombe tu bby si unajua sijawahi kukukatalia.
Mtumishi: bby ile milioni 1 nlokupa jana naomba nikuazime ntakupa tena siku ingine.??
Mchepuko: bby si umesema nkanunulie simu ingine nilipie lile gauni jekundu??
Mtumishi: ni kweli bby...lakini kwani we hujaskia tangazo la JPM??
Mchepuko: khaaa kwaiyo unamaanisha hii pesa ulonipa ilikuwa posho ya kwenda kwenye mwenge??
Mtumishi: ndio Baby[emoji18]
Mchepuko: hapa nina 4000 tu zingine nimetumia tayari labda nkupe hii?
Mtumishi: (kilio)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri,ukipata posho ya serikali kwa sasa usiitumie iweke kwanza mpaka upite mwezi mzima anything can happen!
Viva JPM