nimekusoma mkuuThe problem ni kwamba watu walianza ku-offer mpaka contacts za al-kaida, na al-shabab, am sure hata wewe hutaki hili Jamvi liusishwe na Terrorism..... Just imagine kama mtu atatoa details A to Z alafu chizi mmoja kesho anatumia hizo mbinu na kuua watu alafu anasema knowledge hii aliipata JF?
Mtazamaji hebu nirushie ile link maana wakati najiandaa ghafla wakaifuta thread ile
You might be surprised.... you might not even need any of them ila ushauri kama utapata cha kumuambia just PM him hiyo itafanya hata hii post isifutwe tena....Sio mtaalamu sna ila inabidi uwe na gesi, kibiriti au kitu kitakachofanya moto uwake subiri naja naangalia mengine ila gesi ni muhimu sna
Ila hapa utakuwa huvumbui kitu bali utakuwa unatekeleza tu.... kama unataka ugundue lako ambalo kwa sasa halipo basi unahitaji theory and what is bompSayansi huanza kwa kutambua kile unachokifanya. Yule aliyevumbua AK47 kwani alikuwa mwanasayansi?
Ndo maana nataka hatua za kutengeneza hadi kuwa na bomu kamili ili lisinidhuru. Na nitalitengenezea porini mbali na watu kabisa na majaribio nitafanyia huko kutazama ufanisi wake.
Type "bomb making" in google or youtube, you will get what you need!!
Naiomba serikali iunde tume ya kukuchunguza nyendo zako kuanzia sasa!
mkuu wandima watu wanaogopa isije kua uko ndani ya arusha na kesho naskia fisadi mkuu anataka kuja kuhudhuria mazishi ya wapigania demokrasia wetu
Nataka kutengeneza kisha nitawafahamisha hao kikosi cha ulinzi na usalama ila kwanza nitengeneze!!!