Dah! JF Bwana Kiboko!

Dah! JF Bwana Kiboko!

Status
Not open for further replies.
The problem ni kwamba watu walianza ku-offer mpaka contacts za al-kaida, na al-shabab, am sure hata wewe hutaki hili Jamvi liusishwe na Terrorism..... Just imagine kama mtu atatoa details A to Z alafu chizi mmoja kesho anatumia hizo mbinu na kuua watu alafu anasema knowledge hii aliipata JF?
nimekusoma mkuu

thank you very much
 
Mtazamaji hebu nirushie ile link maana wakati najiandaa ghafla wakaifuta thread ile

hahahaha mkuu pole sana hii ndio home of great thinkers basi tena haikuwa baahati.

Sijui kwa nini wamefuta ebu waulize kwa nn wamefuta. JF bwana ishakuwa kama tawi la TISS.

Kufutwa kwa thread hii kuneleza kwa nini waafrika tunakuwa conusumer tu wa bidhaa za watu wengine. Sababu creativity inaminywa. mijadala mingine inafungwa bila sababu ya msingi.

Kile kitabu noma ukikiosoma utajua mbinu zote za kihalifu kwa kutumia mtandao hacking, mabom, magari,wizi wa kwenye ATM etc.

Nadhani POlisi wetu wanahitji wapewe copy ili wawe na mbinu endelevu za kudhibiti mambo.
 
sayansi unaijua au ndo nyie pure artsts mliodrop kemia na fizikia na hesabu mama mkwe utayaweza haya mambo?
 
Sio mtaalamu sna ila inabidi uwe na gesi, kibiriti au kitu kitakachofanya moto uwake subiri naja naangalia mengine ila gesi ni muhimu sna
 
sayansi unaijua au ndo nyie pure artsts mliodrop kemia na fizikia na hesabu mama mkwe utayaweza haya mambo?

Sayansi huanza kwa kutambua kile unachokifanya. Yule aliyevumbua AK47 kwani alikuwa mwanasayansi?
 
Sio mtaalamu sna ila inabidi uwe na gesi, kibiriti au kitu kitakachofanya moto uwake subiri naja naangalia mengine ila gesi ni muhimu sna

asante kwa mwangaza kidogo. Ila muhimu kama likiwa la kutupa kwa mkono
 
Sio mtaalamu sna ila inabidi uwe na gesi, kibiriti au kitu kitakachofanya moto uwake subiri naja naangalia mengine ila gesi ni muhimu sna
You might be surprised.... you might not even need any of them ila ushauri kama utapata cha kumuambia just PM him hiyo itafanya hata hii post isifutwe tena....
 
You might be surprised.... you might not even need any of them ila ushauri kama utapata cha kumuambia just PM him hiyo itafanya hata hii post isifutwe tena....

Hapa umenena! Mchango kama huu pia ni muhimu
 
Mmh na wasi wasi na huyu kijana.... Kijana unataka kupindua serikali ya JK kwa BOMU?
 
Ndo maana nataka hatua za kutengeneza hadi kuwa na bomu kamili ili lisinidhuru. Na nitalitengenezea porini mbali na watu kabisa na majaribio nitafanyia huko kutazama ufanisi wake.

Type "bomb making" in google or youtube, you will get what you need!!
Naiomba serikali iunde tume ya kukuchunguza nyendo zako kuanzia sasa!
 
Type "bomb making" in google or youtube, you will get what you need!!
Naiomba serikali iunde tume ya kukuchunguza nyendo zako kuanzia sasa!

acha wanichunguze sitadhuru raia ila ninachotaka ni maarifa na material ya namna ya kutengeneza bomu.
 
Sometime mambo ya PM yanaondoa kabisa zana nzima ya forum. Waulize kwa nini wameifuta. au tufanye hili ni jukwaa la political technology.

Watanzania tunaweza kuongoza kwenye political technology na political science Teh teh Teh.
 
mkuu wandima watu wanaogopa isije kua uko ndani ya arusha na kesho naskia fisadi mkuu anataka kuja kuhudhuria mazishi ya wapigania demokrasia wetu
 
mkuu wandima watu wanaogopa isije kua uko ndani ya arusha na kesho naskia fisadi mkuu anataka kuja kuhudhuria mazishi ya wapigania demokrasia wetu

nimeedit hapo juu, nilitaka kusema watakaonipa pm natumia simu kusurf, pia mimi sipo arusha hivyo watu waondoe hofu kumwaga ujuzi walionao huenda siku moja tukawa mbali watanzania
 
Mimi ntajisikia faraja kumiliki bomu which was made in Tz.Wandima ukikamilisha kazi yako naomba uniPM.
 
Mimi ntajisikia faraja kumiliki bomu which was made in Tz.Wandima ukikamilisha kazi yako naomba uniPM.

nimepata kamwanga kidogo kuwa naweza kutumia baruti pia but how?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom