Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Mi nimeomba ushauri wa Kiteknolojia namna ya kutengeneza BOMU, thread imefutwa ghafla hii kweli kiboko. Tunataka kukuza vipaji vyetu Watanzania, badala ya kuagiza nje ya nchi tutengeneze wenyewe.
Hili ni jukwaa la Teknolojia hivyo mwenye kujua namna ya kutengeneza Bomu hasa kwa wale waliopitia fani hiyo wawaelimishe na wengine. Maendeleo huja kwa kuthamini cha nyumbani sio cha nje. Hivyo mwenye uelewa wa namna ya kutengeneza bomu aweke hapa si Mods kufuta thread tafadhali.
Hili ni jukwaa la Teknolojia hivyo mwenye kujua namna ya kutengeneza Bomu hasa kwa wale waliopitia fani hiyo wawaelimishe na wengine. Maendeleo huja kwa kuthamini cha nyumbani sio cha nje. Hivyo mwenye uelewa wa namna ya kutengeneza bomu aweke hapa si Mods kufuta thread tafadhali.