Dah! Kuna kila dalili huyu binti wa kitanga kashaniloga

Tanga bwana teh teh teh kwetu kule ndio mwisho Wa matatizo, ushatiwa zongo wewe
 
Aiseeh huu uandishi sio wa nchi hii, nimejikuta nasoma kama naangalia movie, ila mbali ya yote nikupe hongera kwa kutulizwa na mtoto wa kitanga
 
A sweet woman is hard to find brother. When you find a woman who is sweet or any version of it put a ring on it.
Man it have only been a month or so?? Marrying thoughts are off the hook!!

At least for now!
 
Aiseeh huu uandishi sio wa nchi hii, nimejikuta nasoma kama naangalia movie, ila mbali ya yote nikupe hongera kwa kutulizwa na mtoto wa kitanga
Cheers mate!!

Kuhusu uandishi, u can maybe thank the alcohol for it, haha!!
 
Sasa mkuu mbona wazidi nitisha
Usitishike,anza kumfatilia umjue kwa undani zaidi na zaidi ma binti Wa kule nyumbani wakitaka kitu hawashindwi, yaani hashindwi kukusinga ukasingika ukasahau hata kesho yako ....akiwa mwema kwako ni bora zaidi
 
Usitishike,anza kumfatilia umjue kwa undani zaidi na zaidi ma binti Wa kule nyumbani wakitaka kitu hawashindwi, yaani hashindwi kukusinga ukasingika ukasahau hata kesho yako ....akiwa mwema kwako ni bora zaidi
Ntafanyia kazi ushauri wako, asante dada
 
Man it have only been a month or so?? Marrying thoughts are off the hook!!

At least for now!
I have studied your mode of thought you are more attracted to good looking ladies. And ain't no bad thing about that. But again do you have what it takes to win heart of a good looking lady? Are you a rich guy?

Sometimes you have to accept things as they are and go with the flow. The lady seems to love you. Treat her with care and respect.
 
Mkiambiwa mapenzi yamezaliwa tanga mnaanza Ooh mbona wasukuma pia wanajua kukata mauno,nawaangaliaga tu,nikumegee siri huku tanga mapenzi yanarithishwa kama watu wengine wanavyorithishana ulevi wa mbege,niko na shemeji yako hapa kasinzia jinsi alivyo mcute naogopa hata kuona mbu anamgusa,wallah tanga imejaaliwa vimwana Jamni
 
Daaah mkuu watoto wa kitanga ni noma aisee wako vizur kwenye hizo mambo bana, juzi juzi me nilikuwa natoka moro baña nikaa siti moja ña mtoto wakitanga baña, kama kawaida sikuchelewa kuchukua namba aisee, ña akanipa promisi ya kuja Home aisee, ameshanipa gem Mara moja aisee daah nilichanganyikiwa aisee maana sijawahi pata vile vitu aisee, ivi namvutia kasi tuu, ikiwezekana nipeleke ña mahari kabisa yaani, shikamoo watoto wa kitanga mnajua mapenzi kwakweli
 
Nishawahi kua na mtoto mwingine wa tanga, dah, worst sex I ever had yaniii, nikasema huyu si wa tanga, let me give her some 'benefit of doubt' nikapanga siku nyingine, mechi mbovu tu

Mind you, ni native kabisa wa tanga, si hawa ambao wanazaliwa tanga wakakulia masaki, kwa io kuna watanga ambao hawajui a wala b katika mapenzi
 
Haha mkuu umepewa Mara moja tu unataka kupeleka mahari, you seem to be a better man than me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…