Dah! Kuna kila dalili huyu binti wa kitanga kashaniloga

Finally someone at the same wavelength

How do you cope na shemeji yetu mpya sasa mkuu??
 
Hebu rudi ulikoniquote utaelewa naongelea nini, and if thats the case then ngono isnt a beautifull thing but love is.
Ngono is all we crave for[emoji12] love is just an exaggeration of it all.
 
Hongera sana mkuu, ila hiyo meza na vinywaji ni vitu viwili different.. next time usidhalilishe vitu vinavyo changia kodi Nchini.
 
Hongera sana mkuu, ila hiyo meza na vinywaji ni vitu viwili different.. next time usidhalilishe vitu vinavyo changia kodi Nchini.
Haha, pamoja mkuu, hapa nipo chumbani tu boss, au ulitaka na shelf nije lao huku?
 
Mwamba ni kama unalala chini yaani, tuache hayo, hivi huoni unatukosea heshima kumpenda mwanamke kwa akili na moyo wako wote?sikia huyo demu si ni mweupe? mfupi fulani hivi? nimepiga huyu, halafu ana lijamaa lake pale Tanga sehemu inaitwa Raskazone, alikuwa hapatikani kwa sbabu alikuwa anapelekewa moto na jamaa yake,jikite kwenye punyeto zaidi broo, piga punyeto hadi uwe unapepesuk kwa kukosa nguvu, ukifikia hatua hii hutawaza habari ya mwanamke bhana
 
Hivi inakuwaje mrina asali [emoji518] mzinga ukiwa nyumbani kwake??
 
Huu ni upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…