Dah kutoka kuwa na furaha hadi hofu

"Where there is pleasure, there is always a danger"

Sins of the flesh by Luckdube 1990
 
Siku zote kwenye simu yako unatakiwa uwe una Doctor mwana.Ishu kama hizi anakupa njugu Chapu before 72 hrs uepukane na Ngoma,Sasa we kwasasa anza kula vizuri na mbogamboga usiache na mazoezi kwa sana.
 
Tushapoteza nguvu kazi hapa kipuuzi sana...
 
Duh! Sasa utauliziaje kwa rafiki yako kuwa hana magonjwa ikiwa na yeye hajawahi kumpima! Vijana msiamini vipimo vya macho mtakuja kujutia.
 
Hii haijawahi kufanya kazi, dhambi zote zinazofanyika si dunia ingekuwa imeelewa na mauti na uhai usingekuwepo tena
Duniani kuna wanaokufa na kuzaliwa, haimaanishi kuwa adhabu haipoi, adhabu kwa muhusika ipo palepale na haizuii watu kuendelea kuwepo duniani
 
Kaaaaamaaaaandaaaa heeeja, siku mapigo yangu yamoyo yatakapo koma.............. sitaweza kuamka tena naenda Kwa baba muumba......maaasela naaawaachia usia......malizia kaka mkubwa song naipendaga sana hii
 
N
Ndyo madhara ya pombe pole sana
 
Utalimia meno na bado
 
Kumbe hata ww umemla huyo malaya 😂
 
Siku zote kwenye simu yako unatakiwa uwe una Doctor mwana.Ishu kama hizi anakupa njugu Chapu before 72 hrs uepukane na Ngoma,Sasa we kwasasa anza kula vizuri na mbogamboga usiache na mazoezi kwa sana.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ach uxng
 
Kaaaaamaaaaandaaaa heeeja, siku mapigo yangu yamoyo yatakapo koma.............. sitaweza kuamka tena naenda Kwa baba muumba......maaasela naaawaachia usia......malizia kaka mkubwa song naipendaga sana hii
Acha hizo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…