Dah kutoka kuwa na furaha hadi hofu

Dah kutoka kuwa na furaha hadi hofu

Ushapata chlamidyia au trichomoniasis..soon utaanza kupata penile discharge( maji maji kwenye njia ya mkojo)
 
wakuu juzi kuna mshkaji wangu alitumia namba ya simu ya demu ambaye simjui kunitafuta tukaongea vizuri, sasa mda sio mlefu namtafuta kumbe namba ya demu kama unavyojua nikaaanza mambo yangu nikamuimbisha demu akawa anaelewa, nikamuiliza mshkaji vp huyu sio shemeji akasema sio nikamuuliza hana magonjwa akasema yupo powa me namjua basi nikaendelea kuchati na demu,

tukatumiana picha Whatsapp demu akawa anajaa, siku ya pili tukaonana na siku hiyohiyo nikaenda kula mzigo tena alinikuta nishalewa nikapiga kavu bao 3 japo sikumfurahia sana demu mwenyew mimaji maji tuh mipaja mikuuubwa na sikupata mchubuko wowote, ila baada siku 2 naona dud linauma kwa ndani nikawaza sana ila nikapotzea na leo siku 5 naona maumivu yanapungua.
nnachowaza itakuwa vimaambukizi vya kawaida tuh ila nawaza sana kuhusu ngoma mpk sina raha.

Kweli unaweza kufanya maamuzi ya kukurupuka na kupata matokeo mabaya ya kudumu kwenye maisha yako [emoji24].
Tayriii huku.
 
Vijana kuweni makini acheni ngono zembe utakuja juta furaha ya dakika chache inagharimu maisha yako yote nyege mshindo mbaya sana acheni iyo mara moja
 
wakuu juzi kuna mshkaji wangu alitumia namba ya simu ya demu ambaye simjui kunitafuta tukaongea vizuri, sasa mda sio mlefu namtafuta kumbe namba ya demu kama unavyojua nikaaanza mambo yangu nikamuimbisha demu akawa anaelewa, nikamuiliza mshkaji vp huyu sio shemeji akasema sio nikamuuliza hana magonjwa akasema yupo powa me namjua basi nikaendelea kuchati na demu,

tukatumiana picha Whatsapp demu akawa anajaa, siku ya pili tukaonana na siku hiyohiyo nikaenda kula mzigo tena alinikuta nishalewa nikapiga kavu bao 3 japo sikumfurahia sana demu mwenyew mimaji maji tuh mipaja mikuuubwa na sikupata mchubuko wowote, ila baada siku 2 naona dud linauma kwa ndani nikawaza sana ila nikapotzea na leo siku 5 naona maumivu yanapungua.
nnachowaza itakuwa vimaambukizi vya kawaida tuh ila nawaza sana kuhusu ngoma mpk sina raha.

Kweli unaweza kufanya maamuzi ya kukurupuka na kupata matokeo mabaya ya kudumu kwenye maisha yako [emoji24].
Kuna bwana mmoja aliwahi kusema "aziniye na mwanamke, hana akili"
 
Badala uende ukapime naye wewe unamuuliza mshikaji kama huyo mwanamke hana magonjwa. The common sense is not common.
 
wakuu juzi kuna mshkaji wangu alitumia namba ya simu ya demu ambaye simjui kunitafuta tukaongea vizuri, sasa mda sio mlefu namtafuta kumbe namba ya demu kama unavyojua nikaaanza mambo yangu nikamuimbisha demu akawa anaelewa, nikamuiliza mshkaji vp huyu sio shemeji akasema sio nikamuuliza hana magonjwa akasema yupo powa me namjua basi nikaendelea kuchati na demu,

tukatumiana picha Whatsapp demu akawa anajaa, siku ya pili tukaonana na siku hiyohiyo nikaenda kula mzigo tena alinikuta nishalewa nikapiga kavu bao 3 japo sikumfurahia sana demu mwenyew mimaji maji tuh mipaja mikuuubwa na sikupata mchubuko wowote, ila baada siku 2 naona dud linauma kwa ndani nikawaza sana ila nikapotzea na leo siku 5 naona maumivu yanapungua.
nnachowaza itakuwa vimaambukizi vya kawaida tuh ila nawaza sana kuhusu ngoma mpk sina raha.

Kweli unaweza kufanya maamuzi ya kukurupuka na kupata matokeo mabaya ya kudumu kwenye maisha yako [emoji24].
Lust will kill you.
 
Back
Top Bottom