Dah! kwahiyo wadau Mzee Yusuph ndo basi tena na taarab yake!

Hivi hyo hela ya kula mnayoizungumza amekosa mzee Yusuph ni ipi mbona ana kampuni yake ya kufyatua matofali kule chanika kwa hela ya kula tu itakuwa anapata labda ya matumizi mengine.
 
Alipata vijimilioni vyake mia kadhaa akaona hazitaisha hadi kufa kwake. Baada ya miaka miwili mitatu hela zikaisha na njaa ikamnyemelea. AKASEMA KULIKO KUFA HAPA KWA NJAA NI BORA NIRUDI "MSITUNI"
Alihojiwa huku michozi ikimtoka akadai alitegemea watu watampa tafu alipoacha mziki lakini akaishia kula vitumbua kutwa nzima akibadili ni mihogo ya kukaanga coco beach na kipande cha ngisi akaona hii sasa balaaaa
 
ndugu zetu wapenda dini ukiwa na mafanakio wanataka uonje pepo na pepo yenyewe mda ufiki utaishia kurudi ulipo toka
 
Taarab ilikufaga kitambo siku hizi haisikiki kabisa kitaa
 

Hana maamuzi kabisa. Ndio kilichomwangusha.
 
Hivi hyo hela ya kula mnayoizungumza amekosa mzee Yusuph ni ipi mbona ana kampuni yake ya kufyatua matofali kule chanika kwa hela ya kula tu itakuwa anapata labda ya matumizi mengine.

Tafuta Interview wakati analia Maisha magumu. Umsikilize kwa making.
 
Alipata pesa kidogo akaacha muziki wakati kanuni ni kule ulikopatia pesa endeleza hukohuko kwa ubunifu zaidi, mfano ulikua na kiduka mtaani fanya hadi uwe na duka la jumlajumla au min market kubwa au mall kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…