Dah leo imani imetoweka, hakika jezi nyeusi ilikuwa inaleta imani na kujiamini hadi kwetu mashabiki

Dah leo imani imetoweka, hakika jezi nyeusi ilikuwa inaleta imani na kujiamini hadi kwetu mashabiki

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Mechi ya leo sina imani nayo kabisa, kila nikitafakari naona ni kipigo tu mbele. Kubadilisha rangi ya jezi yenye bahati kwa timu ya Yanga leo tutapata ujira wetu kwa mwarabu.

Japo jezi hajichezi ila bahati kwenye mpira upo. Unaweza kucheza vizuri mno na ukakosa matokeo kwasababu bahati haipo upande wako. Na unaweza kucheza hovyo mpira wa hovyo ila ukapata matokeo kwavile bahati ipo upande wako.

Yanga tokea ivae jezi nyeusi haikuwahi kupoteza mchezo wowote ule, itapata goli hata la kujifunga au la uzembe uliopitiliza. Hiyo ni sehemu ya bahati, pamoja na kubadilisha wadhamini ila rangi ya bahati ingezingatiwa pia.
 
Azam (Nyeusi) 2 - 3 Yanga (Kijani)

25th Dec 2022
 
Acha ujinga kwani jezi nyeusi yanga kaanza kuzitumia msimu huu?
 
Yanga tokea ivae jezi nyeusi haikuwahi kupoteza mchezo wowote ule, itapata goli hata la kujifunga au la uzembe uliopitiliza. Hiyo ni sehemu ya bahati, pamoja na kubadilisha wadhamini ila rangi ya bahati ingezingatiwa pia.
Sawa mwana Yanga. 😃
 
Mechi ya leo sina imani nayo kabisa, kila nikitafakari naona ni kipigo tu mbele. Kubadilisha rangi ya jezi yenye bahati kwa timu ya Yanga leo tutapata ujira wetu kwa mwarabu.

Japo jezi hajichezi ila bahati kwenye mpira upo. Unaweza kucheza vizuri mno na ukakosa matokeo kwasababu bahati haipo upande wako. Na unaweza kucheza hovyo mpira wa hovyo ila ukapata matokeo kwavile bahati ipo upande wako.

Yanga tokea ivae jezi nyeusi haikuwahi kupoteza mchezo wowote ule, itapata goli hata la kujifunga au la uzembe uliopitiliza. Hiyo ni sehemu ya bahati, pamoja na kubadilisha wadhamini ila rangi ya bahati ingezingatiwa pia.
Wee Kolo tulia....Leo ndo tunawaonesha quality ya wachezaji wetu...tulia tulii km ulivyogongwa Jana.....ushindi Leo lazima.
 
  • Masikitiko
Reactions: Tui
Mechi ya leo sina imani nayo kabisa, kila nikitafakari naona ni kipigo tu mbele. Kubadilisha rangi ya jezi yenye bahati kwa timu ya Yanga leo tutapata ujira wetu kwa mwarabu.

Japo jezi hajichezi ila bahati kwenye mpira upo. Unaweza kucheza vizuri mno na ukakosa matokeo kwasababu bahati haipo upande wako. Na unaweza kucheza hovyo mpira wa hovyo ila ukapata matokeo kwavile bahati ipo upande wako.

Yanga tokea ivae jezi nyeusi haikuwahi kupoteza mchezo wowote ule, itapata goli hata la kujifunga au la uzembe uliopitiliza. Hiyo ni sehemu ya bahati, pamoja na kubadilisha wadhamini ila rangi ya bahati ingezingatiwa pia.
Acha ujinga jezi haichezi
 
Mechi ya leo sina imani nayo kabisa, kila nikitafakari naona ni kipigo tu mbele. Kubadilisha rangi ya jezi yenye bahati kwa timu ya Yanga leo tutapata ujira wetu kwa mwarabu.

Japo jezi hajichezi ila bahati kwenye mpira upo. Unaweza kucheza vizuri mno na ukakosa matokeo kwasababu bahati haipo upande wako. Na unaweza kucheza hovyo mpira wa hovyo ila ukapata matokeo kwavile bahati ipo upande wako.

Yanga tokea ivae jezi nyeusi haikuwahi kupoteza mchezo wowote ule, itapata goli hata la kujifunga au la uzembe uliopitiliza. Hiyo ni sehemu ya bahati, pamoja na kubadilisha wadhamini ila rangi ya bahati ingezingatiwa pia.
Achana na imani za jezi... Feisal ni mchezaji muhimu sana kuwepo Yanga... La sivyo kutoboa ni ngumu sana
 
IMG-20230212-WA0076.jpg
 
Wakati Yanga inatolewa na Al Hilal je Feisal hakuwepo?
Umeona leo jinsi mipira ilivyokuwa ikipotea ikifika katikati..?? Umeona jinsi ambavyo pasi zilikuwa zinashindwa kufika kwa mayele...?? Umeona jinsi ambavyo hakukuwa na hata shuti la kujaribu kupiga golini...??? sasa angalia tena game then fananisha na uchezeshaji wa game ya Al hilal na hata ile ya Africain...

Kuna muda ukweli usemwe na tukubali sisi Yanga kutokuwepo Feisal pale kati kutatugharimu
 
Umeona leo jinsi mipira ilivyokuwa ikipotea ikifika katikati..?? Umeona jinsi ambavyo pasi zilikuwa zinashindwa kufika kwa mayele...?? Umeona jinsi ambavyo hakukuwa na hata shuti la kujaribu kupiga golini...??? sasa angalia tena game then fananisha na uchezeshaji wa game ya Al hilal na hata ile ya Africain...

Kuna muda ukweli usemwe na tukubali sisi Yanga kutokuwepo Feisal pale kati kutatugharimu
Mechi unazosemea wewe kazi kubwa ilifanywa na Morrison na wala sio Feisal. Nenda karudie kuangalia vizuri mechi ya kule Sudan, haina tofauti na mechi ya jana. Yanga walimiliki mchezo ila mbele hakukuwa na penetration pass za mwisho na wala za kuweza kufunga goli. Kama unabisha hili njoo na takwimu ya mchezo wa Away wa Yanga. Dhidi ya mechi ya jana. Pengo naloliona ni la Morrison.
 
Back
Top Bottom