MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Wasichana watano waliotiwa mimba wamekamatwa pamoja na wazazi wao, na waliowatia wametoweka na wanasakwa, sijui hili limekaaje, nategemea mipovu ya wana harakati na wana habari na jamii za kimataifa, lakini ukirudi hatua chache nyuma uliangalie vizuri, linaonekana sahihi maana sasa wanaume wa Kitanzania watakaa mbali na watoto wa shule, mtakua mnapita kuleeeeeee.....
Hili likija Kenya tutalipokea vipi...
Japo lina sura mbili, maana sielewi kosa la wazazi hapo, msichana katongozwa huko huko kwenye shamba la mahindi wakati anatokea shuleni, ilhali mimi kama mzazi wake nipo mjini napiga misele ili chakula kipatikane, sasa unikamate na kunishtaki kwa lipi.
Edit:
Nahusisha hii video hapa ili wadau wapate picha kamili ya nini kinaongelewa
---------------------------------------------------------------------
Five pregnant schoolgirls together with their parents were arrested and then released on bail over the weekend in Tandahimba, southern Tanzania.
The arrest came following an order by District Commissioner Sebastian Waryuba in a crackdown to end teenage pregnancies in the region.
According to the District Administrative Secretary Mr Mohamed Azizi, authorities are still looking for the men who impregnated the girls who disappeared shortly after a directive was issued.
“We have managed to arrest the girls and their parents but unfortunately those who impregnated the girls have escaped and we are looking for them,” Mr Azizi told The Citizen.
Adolescent pregnancy in the region have been on the rise recently. In 2015, 20 cases were reported while in 2017, some 27 cases were recorded.
Gender and Human Rights activists have decried the directive arguing that the authorities should arrest the culprits rather than the victims.
In June last year, East Africans and women's rights groups condemned Tanzanian President John Magufuli's comments that schoolgirls who give birth should not be allowed back to school.
Tanzania arrests pregnant schoolgirls
Hili likija Kenya tutalipokea vipi...
Japo lina sura mbili, maana sielewi kosa la wazazi hapo, msichana katongozwa huko huko kwenye shamba la mahindi wakati anatokea shuleni, ilhali mimi kama mzazi wake nipo mjini napiga misele ili chakula kipatikane, sasa unikamate na kunishtaki kwa lipi.
Edit:
Nahusisha hii video hapa ili wadau wapate picha kamili ya nini kinaongelewa
---------------------------------------------------------------------
Five pregnant schoolgirls together with their parents were arrested and then released on bail over the weekend in Tandahimba, southern Tanzania.
The arrest came following an order by District Commissioner Sebastian Waryuba in a crackdown to end teenage pregnancies in the region.
According to the District Administrative Secretary Mr Mohamed Azizi, authorities are still looking for the men who impregnated the girls who disappeared shortly after a directive was issued.
“We have managed to arrest the girls and their parents but unfortunately those who impregnated the girls have escaped and we are looking for them,” Mr Azizi told The Citizen.
Adolescent pregnancy in the region have been on the rise recently. In 2015, 20 cases were reported while in 2017, some 27 cases were recorded.
Gender and Human Rights activists have decried the directive arguing that the authorities should arrest the culprits rather than the victims.
In June last year, East Africans and women's rights groups condemned Tanzanian President John Magufuli's comments that schoolgirls who give birth should not be allowed back to school.
Tanzania arrests pregnant schoolgirls