Dah Magufuli hatanii, labda yupo sahihi kwa hili la kuwakamata wasichana wenye mimba

Dah Magufuli hatanii, labda yupo sahihi kwa hili la kuwakamata wasichana wenye mimba

Napenda kujua wanashtakiwa kwa kosa lipi
Kushindwa kusimamia malezi sahihi ya mtoto ,watu wengi hamjui sheria ndo maana mnaweza sikia MTU anahukumiwa mkashangaa.
 
Kushindwa kusimamia malezi sahihi ya mtoto ,watu wengi hamjui sheria ndo maana mnaweza sikia MTU anahukumiwa mkashangaa.
Tuelimishwe hiyo sheria kama ipo.
 
One, Besides rape and pedophilia, how in the name of f*uck do you prevent young hormone charged teenagers from f*cking

Two, they are young kids and young kids sometimes do dumb shit so why punish them by taking away the education that can help them avoid making dumb decisions in the future?

Three, If they can't get education then how the hell are they supposed to provide a decent life for the child? Or are they supposed to become beggars in a Kenya?

And we wonder why the world laughs at Africa.
 
Kukamatwa kwa wazazi ni sahihi. Wao ndio wenye wajibu wa kuwalea watoto wao na kujua nini kinaendelea/kimetokea kwa watoto wao.
Lengo ni pamoja na kupata majibu sahihi ya je kweli mimba ya mtoto imetokana na kubakwa au tabia za mtoto. Kujua nani anahusika na mimba hiyo isije ikawa wazazi walishamuozesha/walishakula mahari ya huyo binti akiwa shule. Je wazazi waliitumia vizuri nafasi yao kama wazazi au walizembea na kupelekea mtoto kujihusisha na mapenzi hadi mimba.

Kumbuka kuna wazazi wengine huchangia watoto kupata mimba wakiwa shuleni na ikibainika hivyo, wanastahili kushtakiwa.
Eti mzazi kabisa anawaambia watoto,mie napika chai tu,kitafunio kila mtu atajua mwenyewe!duh.
 
Nakuombea Mungu yasikukute ukija kuwa mzazi.maana unachoongea so far ni sio mzazi

Nasikitika hujaelewa nilichokiandika. Mimi ni mzazi ninayezijua changamoto za malezi. Kinachozungumziwa hapa ni kwa nini wazazi wakamatwe. Hujui kwa nini mzazi anakamatwa na unaonekana kwa mtazamo wako kukamatwa kwa mzazi ni kumhesabu ana makosa.. la hasha. Utakapoelewa maana halisi ya kumkamata mzazi utaelewa naongea nini.
 
Kukamatwa kwa wazazi ni sahihi. Wao ndio wenye wajibu wa kuwalea watoto wao na kujua nini kinaendelea/kimetokea kwa watoto wao.
Lengo ni pamoja na kupata majibu sahihi ya je kweli mimba ya mtoto imetokana na kubakwa au tabia za mtoto. Kujua nani anahusika na mimba hiyo isije ikawa wazazi walishamuozesha/walishakula mahari ya huyo binti akiwa shule. Je wazazi waliitumia vizuri nafasi yao kama wazazi au walizembea na kupelekea mtoto kujihusisha na mapenzi hadi mimba.

Kumbuka kuna wazazi wengine huchangia watoto kupata mimba wakiwa shuleni na ikibainika hivyo, wanastahili kushtakiwa.
Pumba tu
 
Thubutu yakukute.... Ukiona hawa hapa chini, pita kuleeeee!!!

wanafunzi.jpg
Mkuu akiwa amemaliza form six anasubiri kwenda jkt kuna tatizo gn!
 
Nasikiliza BBC World Service.

Magufuli is making Tanzania a laughingstock.

Hakuna sheria ya kumkamata mwanafunzi anayepata mimba.

Ni shitty arbitrariness tu.
 
Nasikiliza BBC World Service.

Magufuli is making Tanzania a laughingstock.

Hakuna sheria ya kumkamata mwanafunzi anayepata mimba.

Ni shitty arbitrariness tu.
Heri wewe unayethubutu kusema ukweli, mawazo mengine ni ya kushangaza sana. Najaribu kufikiria ingekuwa ni U.Kenyatta amepeana agizo kama hilo asee. Hata lisaa limoja halingepita kama hajakashifiwa vikali na viongozi, sanasana viongozi walio karibu naye kabisa. Naona tz mnang'ang'ana kuchukua nafasi ilowachwa wazi na Zimbabwe.
 
Heri wewe unayethubutu kusema ukweli, mawazo mengine ni ya kushangaza sana. Najaribu kufikiria ingekuwa ni U.Kenyatta amepeana agizo kama hilo asee. Hata lisaa limoja halingepita kama hajakashifiwa vikali na viongozi, sanasana viongozi walio karibu naye kabisa. Naona tz mnang'ang'ana kuchukua nafasi ilowachwa wazi na Zimbabwe.
Hata hangefika popote akijaribu.. Bill of rights iko na children's rights, na inasema every child has a right to basic education... Alafu under children's act inasema hakuna mtu ana haki ya kufanya lolote ambalo litamzulia au mu affect mwanafunzi kusoma, that means if a female pupil becomes pregnant not only is the school not allowed to expel the student, recent court ruling has set a precedent that the school will take steps to ensure the pregnant teen is not subjected to ridicule and teasing from fellow students and even teachers and she is discrimated the school head teacher will be held responsible..

wp_ss_20180109_0002.png
wp_ss_20180109_0003.png
 
Sisi huku Kenya tumejaribu kila aiana ya vituko, tumewapatia condom, juzi tuka introduce sex education ndani ya mashule naskia sasa wanataka kuanzisha project ya wanafunzi wanaeza enda kwa dispensary na kupewa na kufundishwa kutumia family planning bila idhini ya mzazi! WTF!

kule western ambako teen pregnancy iko juu nao wananunulia wanafunzi baiskeli ili wasitongozwe na jamaa wa bodaboda au jamaa wa magari kuwapa lift wakitoka shule

https17a6ky3xia123toqte227ibf-wpengine_netdna-ssl_comwp-contentuploads201612Press.jpg
httpsi_guim_co_ukimgmediaac2d32812108f23592880525297c1dac238f615b0_178_2784_1670master2784.jpg
httpwww_talkafrica_co_kewp-contentuploads201606bike-1024x683.jpg
httpswww_the-star_co_kesitesdefaultfilesstylesnew_full_contentpublicarticles201609151420489.jpg
 
Wasichana watano waliotiwa mimba wamekamatwa pamoja na wazazi wao, na waliowatia wametoweka na wanasakwa, sijui hili limekaaje, nategemea mipovu ya wana harakati na wana habari na jamii za kimataifa, lakini ukirudi hatua chache nyuma uliangalie vizuri, linaonekana sahihi maana sasa wanaume wa Kitanzania watakaa mbali na watoto wa shule, mtakua mnapita kuleeeeeee.....

Hili likija Kenya tutalipokea vipi...

Japo lina sura mbili, maana sielewi kosa la wazazi hapo, msichana katongozwa huko huko kwenye shamba la mahindi wakati anatokea shuleni, ilhali mimi kama mzazi wake nipo mjini napiga misele ili chakula kipatikane, sasa unikamate na kunishtaki kwa lipi.

---------------------------------------------------------------------

Five pregnant schoolgirls together with their parents were arrested and then released on bail over the weekend in Tandahimba, southern Tanzania.

The arrest came following an order by District Commissioner Sebastian Waryuba in a crackdown to end teenage pregnancies in the region.

According to the District Administrative Secretary Mr Mohamed Azizi, authorities are still looking for the men who impregnated the girls who disappeared shortly after a directive was issued.

“We have managed to arrest the girls and their parents but unfortunately those who impregnated the girls have escaped and we are looking for them,” Mr Azizi told The Citizen.

Adolescent pregnancy in the region have been on the rise recently. In 2015, 20 cases were reported while in 2017, some 27 cases were recorded.

Gender and Human Rights activists have decried the directive arguing that the authorities should arrest the culprits rather than the victims.

In June last year, East Africans and women's rights groups condemned Tanzanian President John Magufuli's comments that schoolgirls who give birth should not be allowed back to school.

Tanzania arrests pregnant schoolgirls
Mkuu ukidhanu labda kuwakamata watu ndo kupunguza ongezeko la mimba [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hivi haujiulizi kwa nchi kama america ,china na nyengine zilizoendelea hakuna mimba za utotoni au mashuleni? Ni KWA KUWA SULUHISHO NI MZAZI KUMJENGEA MTOTO WAKE WA KIKE KUJIAMINI NA AMPE ELIMU JUU YA MAUMBILE YAKE PAMOJA NA KUTUMIA CONDOM PIA KUTULIA NA MPENZI MMOJA NA AANGALIE FUTURE YAKE ZAIDI na hii pia ninkwa watt wa kiume KWA KUWA HATA UKIWA MKALI ATALIWA NA MIMBA ATABEBA SO NI BORA KUMFANYA AWE AWARE NA MAMUZI ATAKAYOCHUKUA NA AJICHUNGE SANA
 
Je wazazi walipogundua watoto wao wana mimba walitoa taarifa kwa vyombo husika?kama walificha walipogundua hiyo ni hatia.Kuna wazazi mwanafunzi akiwa na mimba wanaelewana na wazazi wa mwanaume wanapewa pesa au wanawaozesha watoto,wakikamatwa watasema ukweli tu.Huwezi kuwa tunatozwa kodi wasome bure wao wanaenda kugegedwa.Victims plus culprits wakamatwe wote maana ukikamata culprit na hakubaka unakuwa msenge.Ili mimba za wanafunzi zisiwepo lazima wakatae na papuchi zao,wakizitoa bila shuruti wametoa ushirikiano wagawane makosa na wanaume waliowamimbisha.
 
Back
Top Bottom