Dah! Muacheni Diamond kidogo

Dah! Muacheni Diamond kidogo

Na ili kuiona hotuba inatakiwa uskip ads. Amabapo tayari unakua ulishamuongezea view mwenye hiyo ads..
 
Na ili kuiona hotuba inatakiwa uskip ads. Amabapo tayari unakua ulishamuongezea view mwenye hiyo ads..
Kwa jinsi ulivyoelezea inaonekana ni legal and anyone can do that, lkn kwa maelezo ya wengi including Mange Kimavi inaonekana ni illegal. Embu nifafanulie hapo ununuzi upi ni illegal ambao Mondi anatumia
 
Naona wafuasi wake wanamuamini kama misukule, kila analosema kwao ndio na huyu dada kama angefungua kanisa angepiga ela nyingi ya sadaka kwani wafuasi wake WENGI wao ni wajinga ,kila kitu mange kasema yaani kinajifanya kinajua kumbe sometime kinawaingiza wenzake chaka. Mtu kama huyu kufanikiwa kazi, moyoni amejaa CHUKI na ndio maana mungu hawezi mbariki kwani mungu hukaa na kuwabariki wote wale ambao mioyo yao imejaa upendo. Ila sitoshangaa siku akija chambua mpira, kwani kimezoea kuropoka.
Sijapata kuona mtu mzushi kama yule. Anawezaje kusema mchaga sijui mpare wa zimamoto ni mnyarwanda? Kuna faida gani kuwachafua watu?
 
Kwa jinsi ulivyoelezea inaonekana ni legal and anyone can do that, lkn kwa maelezo ya wengi including Mange Kimavi inaonekana ni illegal. Embu nifafanulie hapo ununuzi upi ni illegal ambao Mondi anatumia
Ununuzi hauna shida kabisa. Wala hakuna makosa aliyofanya kuilipia video ili iwe promoted kwa views.. lkn shida ni kuwa wengi wanaongelea king kiba alivunja rekodi yake bila kununua views so mond akaamua kurudi ktk rekodi yake lkn kwa njia ya magumashi ambayo kaforce kupata views.. angeachia ngoma bila kununua views then tuone ingekuwaje. Hakika asingeweza kuvunja rekod ile ya kiba bila kulipia youtube wampr promo
 
....Na wewe unakusanya nini ili maisha yako yasonge?
Unataka kujua ili iweje?? Mimi sio public figure!!
Nafikiri umenielewa, kama haujanielewa basi utakuwa na hitilafu upstairs!!
 
Huyo mange ni kama ana bipolar. Akikuandama ni anakuandama for years.mwisho anakua obsess na wewe.ndio anavyomfanyia diamond.alimuandama shamim yule dada akawa kimya.kwa mond kisa ni wema ambao wema na diamond kila mtu ame move on yeye bado obsession inaendelea.ukimzoea hakupi shida.ila akiongea kwenye siasa anajua na ana point Nzuri tu.
Mwanadamu Huwezi kuwa nusu. Siasa gani nzuri matusi kumbuka she is above 38 .so compare contrast and Come with Sound and reasonable conclusion. Go and argue with her kwa hoja then u one kama utabaki hiyo Page.
 
Mondi ndo wakwanza kuwepo Vevo kabla ya huyo Alikiba yeye ndo alifungua mlango wa Vevo Tz.....na Nyimbo yake Marry you ndo ina viewers wengi kwa Wasanii wa Tz walio na waliowahi kuwa channel Vevo
Uzuri wa Mondi na Management yake wanaangalia maslahi na co kwa kuwa watu wanakihitaji mfano mzuri kwenye kusajiliwa na Record label.
 
Kununua views diamond ni kweli kanunua. Me mwenye ni mmoja wapo. Nilikua nataka kuangalia documentary ya wanyama. Ile kufungua tu!! Nakutana na ads ambayo ni muziki wa diamond. Kwa kua nishazoea kikutana na matangazo km ya tigo etc.. basi Nikasema hebu ngoja nicheki na hili tangazo ambalo diamond yumo ni la nini.kuangalia naona linaendelea zaidi ya dk 2 na kumbe sio tangazo ni wimbo kbs.. so alilipia youtube ili autangaze wimbo km vile yanavyotangazwa matangozo ya tigo. Voda. Amazon. Alibaba. Etc
acha uongo hivi unajua diamond ana mkataba gani na youtube unajua adhabu yake ni kufutiwa chanel na youtube hivu unajua monitor ya youtube acha kuropoka ad za youtube wanaleta kwa vitu poplr

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mange ni shida. Akiamua kutumia uwanja wake kushambulia mtu yani ni shida. Juzi hapa Kiba alipotoa wimbo wake watu (akiwepo yeye) waliona kama ajabu vile kwa Kiba kufikisha views 1m kwa saa 24 kupitia youtube. Leo Diamond kapata views hao hapo kwa muda huo lakini anainekana ni 'mwizi' wa views. Diamond hajasema kitu yeye anapost tu kazi zake.

Kabla ya hapo wakati wa mobeto kuwa na mimba hadi kujifungua kijana wetu alisakamwa sana na huyu dada, ambaye kwa namna nyingine namkubali tu. Kila mara alipost habari za Abdul na mwisho wa siku Abdul alikuja kuongea na kuwanyamzaisha kwa hayo.

Sasa nimeona tena kuhusu ndoa ya zamaradi mara Zari kahusishwa tena. Kwamba Zama ndiye strong woman kisa kafanya maamuzi ya kuolewa.

Leo mpinzani wa Abdul ambaye ni Kiba yuko vevo. Mange naye huyo. Anataka Diamond aende huko kushindana na Kiba...

Mange endelea na michango dada. Kama Diamond alikukosea msamehe tu na maisha yaendelee. Ni hayo kwa sasa maana nami usijenigeuzia kibao maana wewe huchelewi kugombama hata na kivuli

7807a83d050896217b04b978afd1e430.jpg
Mange hana tofauti na wadada wa saluni! Siku hizi simfagilii tena kwani ni mtu anayelalia upande mmoja na si mtetea haki km anavyojipambanua!
 
Kununua views diamond ni kweli kanunua. Me mwenye ni mmoja wapo. Nilikua nataka kuangalia documentary ya wanyama. Ile kufungua tu!! Nakutana na ads ambayo ni muziki wa diamond. Kwa kua nishazoea kikutana na matangazo km ya tigo etc.. basi Nikasema hebu ngoja nicheki na hili tangazo ambalo diamond yumo ni la nini.kuangalia naona linaendelea zaidi ya dk 2 na kumbe sio tangazo ni wimbo kbs.. so alilipia youtube ili autangaze wimbo km vile yanavyotangazwa matangozo ya tigo. Voda. Amazon. Alibaba. Etc
Kweli kama hujui jambo hujui tu.
Huko siyo kununua views kunakoongelewa.
Halafu kumbuka jamaa anafanya biashara haimbi mziki ili kushindanisha views kama kalipia matangazo mziki wake utazamwe na wengi hiyo ndiyo biashara yenyewe.
Wabongo mtaelimika lini kuwa mziki ni biashara ma biashara ni matangazo, no wonder diamond form two leaver amekuwa na mawazo kuwazidi ndiyo maana kaukuta mziki umestuck kaubeba na kuugeuza biashara kubwa.
Watu walikuwa wanafanya mziki bila kuwekeza kila biashara ni matangazo kama mnataka ushindani wa sifa mtaani huo ujinga.
 
acha uongo hivi unajua diamond ana mkataba gani na youtube unajua adhabu yake ni kufutiwa chanel na youtube hivu unajua monitor ya youtube acha kuropoka ad za youtube wanaleta kwa vitu poplr

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
wabongo bana, eti kanunua, kama mtu hajui aulizeee na sio kujidai unaeweza ..SAFI BRO
 
Aaah kwahiyo Dai views yangu youtube kanunua.. sasa mbona hela sipati
 
Back
Top Bottom