Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba ww alie kwambia kua Diamond hana A/C Vevo nani naonaMastar wakubwa duniani wako VEVO..why Mondo..ujanjaujanja
Hapa ndipo Mange alipothibitisha kwamba unaweza kuwa Marekani lakini bado ukawa mshamba tu manake kwa asiye mshamba wala hawezi kuongea jambo kama hilo; mosi anafahamu hata hizo akaunti wanazodhani ni Vevo account, na zenyewe zinakuwa accessed through Youtube na wala sio directly from Vevo!!!Leo mpinzani wa Abdul ambaye ni Kiba yuko vevo. Mange naye huyo. Anataka Diamond aende huko kushindana na Kiba...
Ujanja ujanja kivipi?! Hebu nipe tofauti kati ya Vevo Youtube channel account na Youtube account ya kawaida huku ukijikita mada iliyopo!!Mastar wakubwa duniani wako VEVO..why Mondo..ujanjaujanja
Unahisi kiba yeye hakufanya hii kitu vevo alilipia na instagram alilipia ngoma ikawa sponsored, usifikiri wengne hatukuona.Ununuzi hauna shida kabisa. Wala hakuna makosa aliyofanya kuilipia video ili iwe promoted kwa views.. lkn shida ni kuwa wengi wanaongelea king kiba alivunja rekodi yake bila kununua views so mond akaamua kurudi ktk rekodi yake lkn kwa njia ya magumashi ambayo kaforce kupata views.. angeachia ngoma bila kununua views then tuone ingekuwaje. Hakika asingeweza kuvunja rekod ile ya kiba bila kulipia youtube wampr promo
Haaaaaaaa child support ndiyo kimemuweka mjini.....Mbona wana mali nyingi tu huku kwann asirudi kwao tuMange anaona wivu,maisha wanayoishi wadada wengi wa kibongo wamemzidi yeye,ni mpenda show off lakini hana cha kuonyesha,hana nyumba,gari nzuri wala investment yeyoye, alidhani kukimbilia mimba na mzungu ndio dili,matokeo yake kabakia kuishi kwa child support km vile mwanafunzi wa Heslb na Boom...
Mbona @Wizkhalifa hayupo vevo kauchek wimbo wake wa See you again anavyokimbiza vyuuuz duniani.Mastar wakubwa duniani wako VEVO..why Mondo..ujanjaujanja
Mwambie afungue hlo Kanisa.Naona wafuasi wake wanamuamini kama misukule, kila analosema kwao ndio na huyu dada kama angefungua kanisa angepiga ela nyingi ya sadaka kwani wafuasi wake WENGI wao ni wajinga ,kila kitu mange kasema yaani kinajifanya kinajua kumbe sometime kinawaingiza wenzake chaka. Mtu kama huyu kufanikiwa kazi, moyoni amejaa CHUKI na ndio maana mungu hawezi mbariki kwani mungu hukaa na kuwabariki wote wale ambao mioyo yao imejaa upendo. Ila sitoshangaa siku akija chambua mpira, kwani kimezoea kuropoka.
Sasa si mtu anafanya biashara, ni akili tu ya kuingiza pesa, tena kihalali kabisaKununua views diamond ni kweli kanunua. Me mwenye ni mmoja wapo. Nilikua nataka kuangalia documentary ya wanyama. Ile kufungua tu!! Nakutana na ads ambayo ni muziki wa diamond. Kwa kua nishazoea kikutana na matangazo km ya tigo etc.. basi Nikasema hebu ngoja nicheki na hili tangazo ambalo diamond yumo ni la nini.kuangalia naona linaendelea zaidi ya dk 2 na kumbe sio tangazo ni wimbo kbs.. so alilipia youtube ili autangaze wimbo km vile yanavyotangazwa matangozo ya tigo. Voda. Amazon. Alibaba. Etc