Dah! Muacheni Diamond kidogo

Dah! Muacheni Diamond kidogo

Mastar wakubwa duniani wako VEVO..why Mondo..ujanjaujanja
Acha ushamba ww alie kwambia kua Diamond hana A/C Vevo nani naona
upo tim ile ya Umoja wa Kumsapoti Mange..
ukm@
 
Leo mpinzani wa Abdul ambaye ni Kiba yuko vevo. Mange naye huyo. Anataka Diamond aende huko kushindana na Kiba...
Hapa ndipo Mange alipothibitisha kwamba unaweza kuwa Marekani lakini bado ukawa mshamba tu manake kwa asiye mshamba wala hawezi kuongea jambo kama hilo; mosi anafahamu hata hizo akaunti wanazodhani ni Vevo account, na zenyewe zinakuwa accessed through Youtube na wala sio directly from Vevo!!!

Na kwavile Tanzania huwezi ku-access Vevo, 99.9% ya views zetu zinatokana na Youtube na sio Vevo! That's why, ukiingia kwenye Vevo account, Seduce Me ina "Likes" chini ya 50 wakati ngoma hiyo upande Youtube channel ina "Likes" zaidi ya elfu 50!!!

Why? Kwa sababu hiyo ngoma inakuwa accessed more kupitia Youtube na sio Vevo lakini Mange hafahamu hili huku akidhani kuwa Vevo ni big deal!!!
 
Mastar wakubwa duniani wako VEVO..why Mondo..ujanjaujanja
Ujanja ujanja kivipi?! Hebu nipe tofauti kati ya Vevo Youtube channel account na Youtube account ya kawaida huku ukijikita mada iliyopo!!

Pole, najua nimekuonea manake I am sure 100% huwezi kutoa jibu la maana kwahiyo sio mbaya, you can ignore the question!
 
Ununuzi hauna shida kabisa. Wala hakuna makosa aliyofanya kuilipia video ili iwe promoted kwa views.. lkn shida ni kuwa wengi wanaongelea king kiba alivunja rekodi yake bila kununua views so mond akaamua kurudi ktk rekodi yake lkn kwa njia ya magumashi ambayo kaforce kupata views.. angeachia ngoma bila kununua views then tuone ingekuwaje. Hakika asingeweza kuvunja rekod ile ya kiba bila kulipia youtube wampr promo
Unahisi kiba yeye hakufanya hii kitu vevo alilipia na instagram alilipia ngoma ikawa sponsored, usifikiri wengne hatukuona.
 
Mange anaona wivu,maisha wanayoishi wadada wengi wa kibongo wamemzidi yeye,ni mpenda show off lakini hana cha kuonyesha,hana nyumba,gari nzuri wala investment yeyoye, alidhani kukimbilia mimba na mzungu ndio dili,matokeo yake kabakia kuishi kwa child support km vile mwanafunzi wa Heslb na Boom...
Haaaaaaaa child support ndiyo kimemuweka mjini.....Mbona wana mali nyingi tu huku kwann asirudi kwao tu
 
Ukimchukia mtu hua unatumia nguvu nyingi sana
 
mi shabiki wa mondi ila ile seduce me ya kiba ni pini balaa.hajawahi kutoa bonge ya kitu kama ile
 
Naona wafuasi wake wanamuamini kama misukule, kila analosema kwao ndio na huyu dada kama angefungua kanisa angepiga ela nyingi ya sadaka kwani wafuasi wake WENGI wao ni wajinga ,kila kitu mange kasema yaani kinajifanya kinajua kumbe sometime kinawaingiza wenzake chaka. Mtu kama huyu kufanikiwa kazi, moyoni amejaa CHUKI na ndio maana mungu hawezi mbariki kwani mungu hukaa na kuwabariki wote wale ambao mioyo yao imejaa upendo. Ila sitoshangaa siku akija chambua mpira, kwani kimezoea kuropoka.
Mwambie afungue hlo Kanisa.
 
Kununua views diamond ni kweli kanunua. Me mwenye ni mmoja wapo. Nilikua nataka kuangalia documentary ya wanyama. Ile kufungua tu!! Nakutana na ads ambayo ni muziki wa diamond. Kwa kua nishazoea kikutana na matangazo km ya tigo etc.. basi Nikasema hebu ngoja nicheki na hili tangazo ambalo diamond yumo ni la nini.kuangalia naona linaendelea zaidi ya dk 2 na kumbe sio tangazo ni wimbo kbs.. so alilipia youtube ili autangaze wimbo km vile yanavyotangazwa matangozo ya tigo. Voda. Amazon. Alibaba. Etc
Sasa si mtu anafanya biashara, ni akili tu ya kuingiza pesa, tena kihalali kabisa
 
Back
Top Bottom