Dah! yani usiku wa kuamkia leo sijalala kwa raha kabisaaa

Zile sare za jangwani swimming pool zinafananaje kumbe
 
Simba wanakula zile zile za LIBOLO leo.
 
Mleta mada wakati hiyo ndoto ilipoisha ulipoamka ulijikagua huko nyuma kuko swalama?
Maana nasikia eti ndoto za hivyo huwa zinaambatana na popobawa.!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…