Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.