Dai la katiba mpya linaweza kuwa ni ugaidi kwa maana hii

Dai la katiba mpya linaweza kuwa ni ugaidi kwa maana hii

Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
Mkuu hayo mabavu walio tumia ni yepi. Watu wakiongea kwenye makongamano ni kutumia mabavu. Makongamano hufanyika kwenye kumbi sio nnje wala barbariani. Wahudhuriaji hawabebi fimbo, visu, wala bunduki. Mkuu waroho wa madaraka ni hawa wanaoogopa kuundwa kwa tumehuru ya uchaguzi, mgombea huru kwenye uchaguzi, ndio maana wanaoogopa katiba mpya kama ukoma.
 
Back
Top Bottom