Daimond akiri kutoka na Jokate!

Daimond akiri kutoka na Jokate!

Mtoto wa Tandale Chaka kwa bi nyau anawatafuna watoto wa Masaki na Mikocheni..sasa huyo Joketi uwa anajifanya vingereza vingi uzungu kaangukia Tandale, maisha haya.
 
Uyu angetafutaga tu wa nepi za kanga wenzie, awa wa pampers na maziwa ya unga awaachie wenyewe..watoto wa mujini watamchuna ad domolo lake,shaur yake..yan wamchune ad za kuendea kwa waganga akose..
Ol n ol, wsh hm th best
 
Msanii huyo kioo cha jamii!tabia ya kuchovya chovya ndio anaifundisha jamii
 
Jo.kate ni bnt mzur lakn mpu.mba.vu!atatembeaje na huyu m.jinga wa tandale!
 
Ha ha haaaa umenikumbusha Zay to the B mwanadada gaidi Domo kama chai Jaba! Chai Jaba aangalie sana maana hawa watoto wanajua kutumia pesa kweli wasije kumbemenda accounts zake si umeona FA,mtoto wa kimei,hasheem wamelamba waksepa sasa huyu chai jaba anataka aweke kambi,ila wadada aliowapitia wanadai jamaa ana mguu wa mtoto.

hebu niambie kijana.mguu wa mtoto ndio nini,maana umeniacha kidogo?
 
Ha ha haaaa umenikumbusha Zay to the B mwanadada gaidi Domo kama chai Jaba! Chai Jaba aangalie sana maana hawa watoto wanajua kutumia pesa kweli wasije kumbemenda accounts zake si umeona FA,mtoto wa kimei,hasheem wamelamba waksepa sasa huyu chai jaba anataka aweke kambi,ila wadada aliowapitia wanadai jamaa ana mguu wa mtoto.

hebu niambie kijana.mguu wa mtoto ndio nini,maana umeniacha kidogo?
 
Si mchezo...Jokate naye! Kweli ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.
 
Back
Top Bottom