Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Nukta5

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2014
Posts
1,182
Reaction score
1,288
Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc

10249087_437127579796502_2128877121_n.jpg

10560909_886941844662497_213785529_n.jpg
10665407_1634749916753561_7568664581_n.jpg
 
Alafu hiyo picha ya kwanza mbona ya kitambo hiyo nyumba ikija kuisha cjui sherehe yake maana anavyoitangaza da! Wabongo..by the way kajitahidi
 
Hebu tuwe wawazi hii nyumba paa lilikua likafumuliwa!?maana naona tofati au macho yngu tu

Mkuu utakuwa Geography ulipata Banda naona photography upo vizuri hatari,kweli picha ya kwanza na ya pili ina paa tofauti lakini nyumba ni moja labda alilifumua tena.
 
Ghorofa sio ok sasa jaccuzi kamaliza now anaenda gettini.
Hongera kumiliki 10 house m jini sio lelemama watu wana v8 wanapark ccm.
 
Back
Top Bottom