Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Huyu jamaa anadai anahela ila nyumba katumia muda mwingi sana kujenga. Nyumba kawaida miezi sita imemalizika kabisa na umehamia.
Hiyo swimming ndogo sana, hakuna space kabisa

Mkuu lakini si nyumba imekwisha au? Swimming ni kwaajili yake na Zari inawatosha!
 
Hahahahahaha uknw am proud of you le super staa Diamond..uknw lepwanya road lazima wachonge uknw..
Uknw watu wengi ambacho hawajui ni kuwa mimi ndio nilishauri kujenga nyumba ya hivi uknw...
Uknw hii ramini nimempa mimi na nikama ya sebule yangu uknw....
Hahahahahaha i love it
 

Attachments

  • 1427025221924.jpg
    1427025221924.jpg
    25 KB · Views: 1,197
Nyumba 10 bado anapanga
Usidhani wanaopanga wote hawana nyumba... wapo wanaopanga huku wakiwa na nyumba za maana kuliko hizo walizopanga... wachumi wanacheza na opportunity cost! Ikiwa una nyumba unayoweza kupangisha kwa sh. 5 million wakato sokoni zinapatikana nyumba za kupanga zilizo standard kwa sh. 2 million, mchumi hawezi kuishi kwenye hiyo nyumba ya sh. 5 million badala yake ataipangisha, 3 million anaweka mfukoni, 2 million na yeye anaenda kuwa mpangaji wa nyumba ya mwenzake!

Usipolifahamu hili, hutakaa uje kuifahamu biashara... na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya mfanyabiashara wa kawaida na mfanyiabiashara mchumi... SHITUKA JOMBAA!
 
Nyumba 10 bado anapanga

Angalia mandhari ya nyumba, ukubwa wa nyumba, halafu shirikisha kichwa chako ujiulize ungekuwa wewe ungejenga kwa siku ngapi ukizingatia unategemea pesa za kuchangisha kwenye shoo tu. Hata hivyo kaachana na kupanga yupo kwake.

diamondhouse.jpg
 
Nimefuta kauli
Hoyaa, hatwendi hivyo, hatufuti kauli kwa ku-edit ama kufuta post wewe, nimekurudishia kauli yako hii hapa:
Huyu jamaa anadai anahela ila nyumba katumia muda mwingi sana kujenga. Nyumba kawaida miezi sita imemalizika kabisa na umehamia. Hiyo swimming ndogo sana, hakuna space kabisa
Na habari rasmi ni hii hap


11049234_739250812860943_889065372_n.jpg
11032805_471149413038159_1971816115_n.jpg


10553976_344676122406204_146028709_n.jpg


10560909_886941844662497_213785529_n.jpg

11004977_818822108195876_2001313262_n.jpg


10665407_1634749916753561_756866458_n.jpg


11055690_1556759617923766_1691545944_n.jpg

[/QUOTE]
 
sina neno maana siwezi kufika level zake ila na mimi ndio namalizia nyumba yangu nimetumia bundle 8 za bati za south nyumba yangu ni mita 13 kwa 12 ngoja nimfukuzie tuone japo sina jina
 
Kajenga mbali na mjini baada ya kununua hata nusu eka ndio ujenge ....unajenga kwenye kiwanja sqm 800 sijuu maana iyo nyumba ilivyo jibana ukuta unakaribia nyumba geti lina karibia nyumba....kwa ustar wake mmh hapana alompa ushauri kakosea

Mkuu nyumba ina nafasi ndio maana kapata nafasi ya kuweka swimming pool au wewe ujaona picha?
 
Back
Top Bottom