Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

NI sheedah, kajitahidi, mi namuoenea huruma mama ubaya tu, uko alipo sijui atakuwaje, maana mimi tu hayanihusu roho imeniuma vile, sasa yeye ambaye alikuwa baby wake sijui itakuwaje, atalamba ndimu mwaka huu

Ndio mumsaidie sasaa kulamba ndimu,hehee mange kawa mshauri eti jiko lingekua hivi mara vile wakati nae anaishi stoo tu pumbavuuu
 
Binamu unajua naumwa ila jana nikashindwa kujizui kuingia humy maana nna deep mawazuuu loo,
Kwa taarifa yako uzi haufutwi we lamba ndimu na juic yake nakulete

Mi mpaka nione hati ya nyumba ndo nitaamini, maana huyu ndomo kwa kweli sio wa kumwamini, usikute nyumba ya pedeshee
 
Ndio mumsaidie sasaa kulamba ndimu,hehee mange kawa mshauri eti jiko lingekua hivi mara vile wakati nae anaishi stoo tu pumbavuuu

Sitaki kucheka mie, mange nae kawa designer siku izi? Si mchezo, kweli ndimu za jana ziliwakolea wengi
 
Msukuma sio maarufu jamani msamehe,hua namsifia huku kiuno kipo juu nampa utamu
Nahisi jana hujalala kwa roho mbayaaa

Mwenzangu mpaka najiuliza mimi sio mchawi kweli? Ni sheedah, ila hapana jana niliumiaje? Nilivyokuwa simpendi ndomo... ila bora mie nasema sitaki stress, maana wengine wanavujia maumivu ndani kwa ndani, sasa kama niliumia nisiseme? Wanipishe mie
 
Imetosha jamani, tumekubali mshatupiga bao jana na jumba lenu la kifahari tena zuri, tunasubir janga lingine limkute tuanze kuchamba, ila kwa jana tu katuweza, sitasahau kwa kweli
Hahahahahaa!!! Chibu hajawaweza jana kaanza kuwaweza zamani manake kila cku na shobo zake zote, alikuwa anaonesha kakibanda tu kwa nyuma halafu wala hakaonekani kama kangeisha ili awape nafasi watu ya kuchonga! Na kweli mkachonga, mkachonga, mara ghafla, mvuuuuu, hilo hapo na haishangazi akina warumi kuhitimisha ni cha Braza Kinje manake tulishazoea kukaona kale kakibanda kasikotaka kwisha!!!
m
 
Last edited by a moderator:
NI sheedah, kajitahidi, mi namuoenea huruma mama ubaya tu, uko alipo sijui atakuwaje, maana mimi tu hayanihusu roho imeniuma vile, sasa yeye ambaye alikuwa baby wake sijui itakuwaje, atalamba ndimu mwaka huu
hahahahaaaa! Mpwa usinichekeshe bhana... kumbe hayakuhusu na bado roho inakuuma, aaaaaargh! Sema dah, nadhani Wema hana bahati kwa kweli! Na hapa napata picha moja... ndo maana Chibu alikuwa anakwepa kutangaza ndoa mapema... nani anataka stress za kupelekana mahakamani tugawane mali baada ya ndoa kuchacha!!!
 
Tuonyeshe na wewe nyumba ya msukuma, sio kutwa kushoboka na vitu vya watu kama uliambiwa una urithi

Hahhhhaaa nyumba ya msukuma ya ninii weka yako kwanzaa mfyuuuuuu muwache msukuma wangu
 
Mwenzangu mpaka najiuliza mimi sio mchawi kweli? Ni sheedah, ila hapana jana niliumiaje? Nilivyokuwa simpendi ndomo... ila bora mie nasema sitaki stress, maana wengine wanavujia maumivu ndani kwa ndani, sasa kama niliumia nisiseme? Wanipishe mie

Hhhaaaaaaa aiseee wewe ni mchawi nishakuambia
 
Mi mpaka nione hati ya nyumba ndo nitaamini, maana huyu ndomo kwa kweli sio wa kumwamini, usikute nyumba ya pedeshee

Na bado mtataka hadi risiti ya vifaa alivonunuaa
 
Sitaki kucheka mie, mange nae kawa designer siku izi? Si mchezo, kweli ndimu za jana ziliwakolea wengi

Siku hiz mshauri yaan kashindwa kujishauri yake mfyuuuu
Hiv binam kuchukua zile picha insta na video unafanyaje hebu nitoe ushamba mieee
 
Hahahahahaa!!! Chibu hajawaweza jana kaanza kuwaweza zamani manake kila cku na shobo zake zote, alikuwa anaonesha kakibanda tu kwa nyuma halafu wala hakaonekani kama kangeisha ili awape nafasi watu ya kuchonga! Na kweli mkachonga, mkachonga, mara ghafla, mvuuuuu, hilo hapo na haishangazi akina warumi kuhitimisha ni cha Braza Kinje manake tulishazoea kukaona kale kakibanda kasikotaka kwisha!!!
m

Mi nshasema mpaka nione hati, kwani mtu hwezi kupost nyumba ukasema yako? Ndomo si wa kumwamini kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaaa! Mpwa usinichekeshe bhana... kumbe hayakuhusu na bado roho inakuuma, aaaaaargh! Sema dah, nadhani Wema hana bahati kwa kweli! Na hapa napata picha moja... ndo maana Chibu alikuwa anakwepa kutangaza ndoa mapema... nani anataka stress za kupelekana mahakamani tugawane mali baada ya ndoa kuchacha!!!

Ahahahh yote apa hayatuhusu, tusifie au tuponde ni maisha yake
 
Mi si nimekwambia naishi kwa mamdogo? Nyumba napata wapi nfyuu ebu nipishe na shobo zako, ndomo mwenyewe hakujui nfyuuu

Yaan na umbea wote unaishi kwa mamdogo loooooooooooooo na sitak domo anijue mie na badoooo
 
Na bado mtataka hadi risiti ya vifaa alivonunuaa

Tupisheni bwana, akina mwanvita wana nyumba nchi za nje hatusemi sembuse huyo aliyejenga uswahilini.... nyie ambao hamna uwezo wa kujenga ndo mnaona apo kajengaaa tutoleeni ushamba wenu, watu wana nyumba USA ila wapo kimya, masikini hakipata kazi sana
 
Siku hiz mshauri yaan kashindwa kujishauri yake mfyuuuu
Hiv binam kuchukua zile picha insta na video unafanyaje hebu nitoe ushamba mieee

Unataka uzipeleke wapi na wewe? Jamani huyu mwanamke mbea khaa, aya unataka kufanyaje kwanza?
 
Back
Top Bottom