Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Kajenga mbali na mjini baada ya kununua hata nusu eka ndio ujenge ....unajenga kwenye kiwanja sqm 800 sijuu maana iyo nyumba ilivyo jibana ukuta unakaribia nyumba geti lina karibia nyumba....kwa ustar wake mmh hapana alompa ushauri kakosea
 
State house hiyooooo ����������
 
Acheni wivu wa maendeleo pumbavu zenu hamna hata kiwanja kugamboni vinauzwa milioni 1 au 2 mmekaa mnatokwa na mapovu eti tangu 2009. Laanakum nyie ndo mana hata mungu anawatupa unafikiri mungu anapenda husda ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…