Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Mpwa nakuwekea sentensi mbili, ya blue na nyekundu: Jide ana nyumba mzuri, muziki wake mzuri, ana mafanikio kibiashara nyingine ni : Jide bwana, bonge la demu, ana mguu wa bia, mtoto ameumbika, ana macho ya kuvutia! Kwa uelewa wako wewe, ni sentensi ipi nimemsifia Jide?

Jamani binamu, unanichokonoa? Jide ana mguu wa bia?
 
Mtashindwa na mtaregea Daimond foreverr na badooooo mlisema kapanga supasta gani kapanga,leo kahamia kwake hamuaminiiii ushwiiiii

Binamu umeniponza, nachambwa na chige ulinidanganya kapewa, mwanamke fisadi wewe loh nfyuuu
 
Last edited by a moderator:
Loh Dinazarde umeniponza c ulisema chige kapewa ban mwenzio nkaanza kujitawala kumbe umenidanganya? Kuanzia leo ukae na hyo hyo akupe umbea nfyuuu

Nawe ukome kumponda daimond alaa,ndio hivyo huyo hapo chige sasa kumbe ulijitawala ukajua ana ban mjibu sasaa kazi ni kwako
 
Last edited by a moderator:
Nawe ukome kumponda daimond alaa,ndio hivyo huyo hapo chige sasa kumbe ulijitawala ukajua ana ban mjibu sasaa kazi ni kwako

We unataka kunichonganisha na kaka chige tu nshakujua wewe mchonganishi nfyuuu na hatugombani ng' oo loh mwanamke kinyonga wewe ,hapana kwa kweli sio kwa umbea huu
 
Last edited by a moderator:
We unataka kunichonganisha na kaka chige tu nshakujua wewe mchonganishi nfyuuu na hatugombani ng' oo loh mwanamke kinyonga wewe ,hapana kwa kweli sio kwa umbea huu

Saa ngapi !??linii?? chige ukuje ujioneee ,,umeyataka mwenyewe yaoge,halaf mafuriko hayajakusomba kwelii wewe
 
Last edited by a moderator:
Binamu umeniponza, nachambwa na chige ulinidanganya kapewa, mwanamke fisadi wewe loh nfyuuu

Unalo 👌👌👌👌👌✌✌✌✌👅👅👅
 
Last edited by a moderator:
Loh Dinazarde umeniponza c ulisema chige kapewa ban mwenzio nkaanza kujitawala kumbe umenidanganya? Kuanzia leo ukae na hyo hyo akupe umbea nfyuuu
Yaani mpwa unatia huruma... manake hii mipicha ni kigezo tosha kuthibitisha kwamba hauna BP hata ya kuzingiziwa manake tungesema mengine hivi sasa! Ile juzi, ukija huku, mipicha ya tiles custom made... ukiangalia kule, unakumbana na wash room with gold plated accessories, ukiangalia upande wa pili, mituzo ya kumwaga... wacha ujilazimishe kufungua uzi na kutuletea zilipendwa za akina Kajala na Wolper huku mwenyewe ukidhani kwamba ungesahau ya Chibu, kumbe wapi!!!!
 
We unataka kunichonganisha na kaka chige tu nshakujua wewe mchonganishi nfyuuu na hatugombani ng' oo loh mwanamke kinyonga wewe ,hapana kwa kweli sio kwa umbea huu
Huna lolote, kwenda huko hapa habari moja tu, hii hapa: dari.jpg
 
Sema nini unataka ,nini unataka,siamini siamini yamenipanda kichwani hale chekechaaa chekechaaa cheketuaaaà warumi upooooo
 
Last edited by a moderator:
Yaani mpwa unatia huruma... manake hii mipicha ni kigezo tosha kuthibitisha kwamba hauna BP hata ya kuzingiziwa manake tungesema mengine hivi sasa! Ile juzi, ukija huku, mipicha ya tiles custom made... ukiangalia kule, unakumbana na wash room with gold plated accessories, ukiangalia upande wa pili, mituzo ya kumwaga... wacha ujilazimishe kufungua uzi na kutuletea zilipendwa za akina Kajala na Wolper huku mwenyewe ukidhani kwamba ungesahau ya Chibu, kumbe wapi!!!!

Yaan binamu yangu anatapatapa mpaka namuonea imani loo pole warumi mpaka huu mwezi uishe utakua umepona vumilia tu binamu tabidi ukubaliane na upepo unavyokwenda
 
Last edited by a moderator:
i just luv him, watanzania tuache majungu! pakusifia tusifie, kuna mitoto ya kiume kibao ipo 35 hata choo hajajenga yupo kwao ana kazi ya kujisifia na flat screen ya baba yake. kha! watanzania tubadilike!
 
Kwa hiyo wewe hua unamsifia jaydee hua una ndoto za kulala nae!!acha mawazo potofu
kuna wanaume wanaumia sana na mendeleo ya platnumz! ,mmmmmmxxxxiiiiiieeeewwww! watanzania noumer! wachawi sijapata kuona!
 
Chige una macho mabovu huo ni mguu wa bia???
 
kuna wanaume wanaumia sana na mendeleo ya platnumz! ,mmmmmmxxxxiiiiiieeeewwww! watanzania noumer! wachawi sijapata kuona!
Nashangaa mpwa warumi leo amenuna, kisa eti chige anamsifia Diamond wakati wote ni wanaume! We warumi, ushaelewa tofauti kati ya kumsifia mtu na kusifia mafanikio ya mtu??
 
Last edited by a moderator:
Chige una macho mabovu huo ni mguu wa bia???
We nawe, unafikiri usipompa ma-hope huyo nduguyo warumi si anaweza kushindwa hata kula! Na hizi mvua mvua hizi, cjui hata kama kuoga kwenye siku mbili hizi alioga manake kila akiangalia hii mipicha, pupwe linaongezeka!!! Warumi mpwa, usimsikilize huyu Dinazarde, wivu tu na yeye umejaa, si unajua tena wanawake wasivyopendana wao kwa wai! Yaani guu lote la Dada Jide lile halafu mtu aseme halioni, aaaaaargh!
 
Last edited by a moderator:
Yaani mpwa unatia huruma... manake hii mipicha ni kigezo tosha kuthibitisha kwamba hauna BP hata ya kuzingiziwa manake tungesema mengine hivi sasa! Ile juzi, ukija huku, mipicha ya tiles custom made... ukiangalia kule, unakumbana na wash room with gold plated accessories, ukiangalia upande wa pili, mituzo ya kumwaga... wacha ujilazimishe kufungua uzi na kutuletea zilipendwa za akina Kajala na Wolper huku mwenyewe ukidhani kwamba ungesahau ya Chibu, kumbe wapi!!!!

AHAhahahahaajaha, khaaa sio kwa picha zile aseeh, maana mvua ilikuwa inanyesha ila joto nililokuwa nalisikia, mungu anajua kwa kweli, nilipata nafuu pale ukuta ulipoanguka chini, hahahah
 
Back
Top Bottom