Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
I never touch alcohols!Tukiendelea kusubiria serikali mpya chini ya uongozi mpya si vibaya tukapunguzia stress humu. Kuna wanaume ambao wakiachwa na mwanamke, haijalishi ni mke/demu wa mtu/best, wao lazima watupe neno la mahaba. Hawa ni silika, tabia ama udhaifu? Najua mnajua kuwa hawa watu wapo. Halafu bahati mbaya hutokea wakafanikiwa. Hii imekaaje
wana mapepotukiendelea kusubiria serikali mpya chini ya uongozi mpya si vibaya tukapunguzia stress humu. Kuna wanaume ambao wakiachwa na mwanamke, haijalishi ni mke/demu wa mtu/best, wao lazima watupe neno la mahaba. Hawa ni silika, tabia ama udhaifu? Najua mnajua kuwa hawa watu wapo. Halafu bahati mbaya hutokea wakafanikiwa. Hii imekaaje
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:I never touch alcohols!
Inever touch extra-marital affairs!
Two things!
hayo ya jk yamekujaje tena?Nasikia jk nae ni mzee wa krosi sana