Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Nimeamini hakuna Professor anaweza kuwa mtendaji mzuri Lumumba na uprofessor wake ameonekana bogus kufuatia hukumu ya kutengua ushindi wa Kenyatta. Hapa nchini kuna umuhimu wa serikali kuwaacha hawa professors wafundishe vyuo vikuu.
ukishakuwa profesa tu huwa akili inabadilika, unakuwa hauna akili kama za watu wengine.
 
Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA na imani ya kwamba wameibiwa kura,

Amefanya hivyo mahakamani ambako kulikuwa na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,

Swali langu hivi kweli umahiri au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa wakenya?

Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila jambo limechanganywa na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna.

Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe na kamusi pembeni maana English ya PLO Lumumba haijawahi acha vichwa salama.

Maelezo kwa kifupi ya Prof Lumumba ni haya baadhi

1. Wamefungua kesi bila kuwa na hoja ya msingi iliyosababisha kesi kufunguliwa.

2. Affidavit badala ya kuwa nafsi ya kwanza umoja kwa mujibu wa sheria, yao inaonesha ni nafsi ya kwanza wingi. Haina mdai inshort.

3. Wamewasilisha hoja zenye takwimu na zenye mantiki, lkn wanaitaka mahakama ijikite kutoa uamuzi kwa kuzingatia maneno matupu(mantiki) na siyo takwimu ambazo zinaonesha odinga kapigwa.

4. Nasa walitangazia umma kuwa hata wakishindwa hawataenda mahakamani maana hawaiamini, leo wameenda kwenye mahakama ambayo wameshautangazia umma kuwa haitendi haki. Prejudice!

5. Wamefungua kesi wakidai aliyefungua kesi ni wananchi wa Kenya, wakati wananchi wa kenya walishapiga kura na kumpa ushindi mnono Uhuru. Sasa waliompa ushindi Uhuru, wanaanzaje tena kuupinga? Inaonesha siyo wakenye, bali ni kikundi cha baadhi ya wakenya wasioheshimu mchakato wa democrasia.


Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali Magufuli


Tatizo letu huwa hatuelewi viashiria vya kuwa mtu ameongea pointi au ucheshi, ukiwa unaongea na watu halafu wakacheka haimaanishi kuwa umeongea kitu cha muhimu na hasa sehemu kama Mahakamani au Kanisani kwenye mahubiri. Nilitarajia kama Lumumba angeongea hoja nzito basi mawakili na wanasheria wenzake wangekuwa wanatingisha vichwa na hiyo ndiyo ingekuwa kiashiria cha uzito wa hoja, lakini walicheka kumaanisha kwamba maneno yake hayakuwa na msingi bali ni burudani ndani ya mahakama
 
Back
Top Bottom