DAKIKA 5 BAADA YA CARBON MONOXIDE ALARM FIRE WAMEFIKA. KWETU BONGO MPAKA TUNGEKUFA HAWAJAFIKA..

Long time ago wakati ninasoma first degree nilikuwa na classmate kutoka Kenya. Alipata flat one bedroom. Kumbe gas ilikuwa ina leak nyumbani kwake.
Alikuwa anachoka sana akija shule lakini alikuwa anafanya kazi pia alihisi ni uchovu wa kazi.
Siku moja alilala hakuamka. Ninakumbuka polisi walinihoji kwakua alikuwa rafiki yangu. Kama kuna tatizo lililimfanya anywe sumu.

Post-mortem ndiyo ilisema alikuwa na high level ya carbon monoxide kwenye damu. Walichunguza flat na kugundua leakage. Msala aliubeba landlord.
 
Pole sana.
 
Mkuu tukifikisha miaka 200 km marekani tutakuwa sawa na wao km sasa
 
Mkuu tukifikisha miaka 200 km marekani tutakuwa sawa na wao km sasa
Nywrere alisema "we must run while they walk".

Angekuwa anasikia aspiration yetu ni kuwa walipo wao leo miaka 185 ijayo hilo litamfadhaisha sana.

Hiyo aspiration tu inafadhaisha.
 
Mkuu mbona tunakimbia?
Tatizo sisi tunakimbia na wao wanakimbia pia, hawasimami au kutembea.

Kwa miaka hii 50, walipotuacha na tulipoo hatupo pabaya, sema matarajio yetu ni makubwa kuliko uwezo tulio nao.

Tutafika mkuu, karibu na wewe uwe sehemu ya mbio hizi.
Nywrere alisema "we must run while they walk".

Angekuwa anasikia aspiration yetu ni kuwa walipo wao leo miaka 185 ijayo hilo litamfadhaisha sana.

Hiyo aspiration tu inafadhaisha.
 
Ingekuwa bongo wangesema siku zake zilifika na uchunguzi umeisha,Wenzetu hapo wameshaokoa vifo vingine kwa kuchunguza chanzo cha kifo chake.
 
Kwa miaka 60 ya uhuru hatuna hata first responder team fire truck zitoke airport kwenda kuzima moto town,speed haiwiani na miaka yetu toka uhuru. Hatuna dira wala vipaumbele kama nchi yani, kila ajaye anayake.
Mkuu tukifikisha miaka 200 km marekani tutakuwa sawa na wao km sasa
 
Wanakufa kwa majanga sie tunakufa kwa malaria na ukimwi au vipi? Ngoma droo [emoji23].
Lkn bado Wazungu wanakufa zaidi kwa majanga kuliko sisi, usiangalie jambo kwa upande mmoja tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…