Dakika 90 mnamaliza pakti moja! Mmekuwa kama Simba

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Hawa ndugu zetu wanatutia aibu sana. Wakati tukipambana kulitafutia taifa heshima, wao walikuwa kamati ya mapokezi na kuwapa hisani wageni wa kila namna. Ila mwisho wa siku wageni walitupa heshima na tumeendelea kubaki nayo.

Jana walifanya mchezo mbaya zaidi wa kumkirimu mgeni hadi akamaliza pakti moja ndani ya dakika tisini. Naamini huu mchezo wataendelea kuufanya kwenye michuano ijayo ya kimataifa kwani sasa hivi wanahangaika na kumtetea mtu aliyekuwa akiwatukana.

Nawashangaa kweli vikombe hampendi mnapenda vitu vya ajabu ajabu kweli!
 
Yanga sio ya kuilinganisha na Simba SC, midomo yao ndio inawadanganya watu waione ni timu kubwa wakati kiuhalisia hakuna timu pale, kila msimu wanasajili timu mpya mbele ya safari waanze kudaiana mishahara then waanze kutimuana.
 
Walipo yanga tushapavuka more than ten years so watasubiri sana kuvuja kwa pakacha
 
Unakosea sana kujaribu kuifananisha Simba na matakataka..
 
Rage ana kila aina ya sababu ya kutembea kifua mbele kama kuku aliye nyonyolewa, kwa kuwaita mashabiki wa simba 'mbumbumbu' enzi zile alipokuwa Mwenyekiti/Rais wa timu.

Na ushahidi wa wazi, ni hiki wanacho kishangilia hao mashabiki!!
 
Shida ya shabiki ni furaha na maana ya furaha ni makombe zingine izi ni swagga tu wala hayaruhusu #nguvumoja#
 
Shida ya shabiki ni furaha na maana ya furaha ni makombe zingine izi ni swagga tu wala hayaruhusu #nguvumoja#
wastani wa bao moja kila dakika 30 watakuwa kila bao la mgeni walifika kileleni mara 3
 
Rage ana kila aina ya sababu ya kutembea kifua mbele kama kuku aliye nyonyolewa, kwa kuwaita mashabiki wa simba 'mbumbumbu' enzi zile alipokuwa Mwenyekiti/Rais wa timu.

Na ushahidi wa wazi, ni hiki wanacho kishangilia hao mashabiki!!

Usijisahaulishe!
Yanga 1 - 3 Express
 
Ni.wazee wangonjera na kutaka kumuongelea Mo kwa ubaya tu always wakati kwao kuna haribika balaa
 
Rage ana kila aina ya sababu ya kutembea kifua mbele kama kuku aliye nyonyolewa, kwa kuwaita mashabiki wa simba 'mbumbumbu' enzi zile alipokuwa Mwenyekiti/Rais wa timu.

Na ushahidi wa wazi, ni hiki wanacho kishangilia hao mashabiki!!
Mpo busy na mambo ya Rage na MO mnasahau team yenu chonde chonde Yanga fanyeni usajili
 
Rage ana kila aina ya sababu ya kutembea kifua mbele kama kuku aliye nyonyolewa, kwa kuwaita mashabiki wa simba 'mbumbumbu' enzi zile alipokuwa Mwenyekiti/Rais wa timu.

Na ushahidi wa wazi, ni hiki wanacho kishangilia hao mashabiki!!
Na bado mtatia aibu zaidi mechi za kimataifa nyinyi vyura.
 
Mpo busy na mambo ya Rage na MO mnasahau team yenu chonde chonde Yanga fanyeni usajili
Sasa ile timu iliyoshiriki Cecafa unaweza kabisa kuihukumu kama Yanga kweli! Timu nzima hakuna hata mchezaji mmoja wa kikosi cha kwanza!! Maana hata Shikalo mwenyewe alicheza baada tu ya Dogo Kabwili kupewa kadi nyekundu..

Msimu wa Ligi ukianza, na timu ikifanya vibaya, nitakuunga tu mkono.
 
Wale mliocheza nao team yao kikosi cha ngapi?? 15 Aug CAF wanataka majina ya wachezaji watakao cheza mashindano ya kimataifa fanyeni hima kusajili ili msije kulalamikia waamuzi na TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…