NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Winga msumbufu, winga machachari namba kumi na moja Bernard Morrison (Toto tundu) kutokana na skills zake za kuchezea mpira ndani ya box la mpinzani hakika akipewa dakika arobaini (40) zinamtosha kabisa kufanya maajabu mbele ya waarabu na kuwaacha wakilia kwa machozi ya uchungu.
Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.
Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.
Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.
Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.
Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.
Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.