[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mtasemaa yoteee mbna mda badoo.mwarabu first half atapigwa chuma 0-2,second half 1-1 so FT 1-3......agg 3-4,then baada ya kipenga cha mwisho mashabiki wao wataingia uwanjani kutufanyia vurugu nzito ila kuhusu kombe ndo itakuwa too late.Jumapili asubuhi kutakuwa na habari za vifo vingi sana vya makolo kujiua..REMUNTALEM!!
Ungeisadia timu yako kama una uwezo huoHizi kelele zenu ndo zilisababisha tuwatumie mvua. Na Jumamosi tunawaletea mvua ya mawe, walengwa ni wachezaji wa Yanga.
Hakuna zaidi, hao tu!Sunday Manara na kikwete tuu
Yaani ni wawili tu
nimeanza kudoubt uwezo wa aziz kii. pia, mzize asiende kabisa uarabuni anapoteza tu nauli, miguu mizito utafikiri ngongochi. morison aanza, mayele, na wengine.Winga msumbufu, winga machachari namba kumi na moja Bernard Morrison (Toto tundu) kutokana na skills zake za kuchezea mpira ndani ya box la mpinzani hakika akipewa dakika arobaini (40) zinamtosha kabisa kufanya maajabu mbele ya waarabu na kuwaacha wakilia kwa machozi ya uchungu.
Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.
Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.
Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.
Matamanio kila mtu anayo. Tatizo uwezo na uwezekano.mwarabu first half atapigwa chuma 0-2,second half 1-1 so FT 1-3......agg 3-4,then baada ya kipenga cha mwisho mashabiki wao wataingia uwanjani kutufanyia vurugu nzito ila kuhusu kombe ndo itakuwa too late.Jumapili asubuhi kutakuwa na habari za vifo vingi sana vya makolo kujiua..REMUNTALEM!!
Mlikuwa mnalia lia nini sasa kuhusu mvua ya J'pili?Ungeisadia timu yako kama una uwezo huo
Hio mvua mngeitumia kufika fainali hata Azam federation cup ningekuelewaMlikuwa mnalia lia nini sasa kuhusu mvua ya J'pili?
Halafu muda huo waarabu wanawaangalia tu wao hawana utaalamu wowote.Winga msumbufu, winga machachari namba kumi na moja Bernard Morrison (Toto tundu) kutokana na skills zake za kuchezea mpira ndani ya box la mpinzani hakika akipewa dakika arobaini (40) zinamtosha kabisa kufanya maajabu mbele ya waarabu na kuwaacha wakilia kwa machozi ya uchungu.
Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.
Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.
Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.
MbumbumbuSunday Manara na kikwete tuu
Yaani ni wawili tu
Kweli Bingwa wa NBC Ligi.YANGA BINGWA
Wewe unaonaje unadhani hiyo record Simba mtaifikia ???Mna kelele nyingi Sana. Mna ushamba wa mafanikio. Kuwatoa Marumo iliyoshuka daraja mnajiona masuper star.
Hayo maneno yako SasaJamaa wakiwatangulia tu goli moja mmekwisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama vile waarabu wao hawana kikosi au wataingia watatu uwanjani
Uliangalia mpira.Hao si ndo waliingia timu ikafungwa.
Huyo Morrison akianza tu huko ugenini mjue mtamaliza game pungufu.
TAHIRA WEWE [emoji41]