Dakika arobaini (40) za Bernard Morrison, Lomalisa mutambala na Shabani Djuma zinatosha kabisa kuwateketeza waarabu (USM Alger) Nyumbani kwao

Dakika arobaini (40) za Bernard Morrison, Lomalisa mutambala na Shabani Djuma zinatosha kabisa kuwateketeza waarabu (USM Alger) Nyumbani kwao

mwarabu first half atapigwa chuma 0-2,second half 1-1 so FT 1-3......agg 3-4,then baada ya kipenga cha mwisho mashabiki wao wataingia uwanjani kutufanyia vurugu nzito ila kuhusu kombe ndo itakuwa too late.Jumapili asubuhi kutakuwa na habari za vifo vingi sana vya makolo kujiua..REMUNTALEM!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mtasemaa yoteee mbna mda badoo.
 
Winga msumbufu, winga machachari namba kumi na moja Bernard Morrison (Toto tundu) kutokana na skills zake za kuchezea mpira ndani ya box la mpinzani hakika akipewa dakika arobaini (40) zinamtosha kabisa kufanya maajabu mbele ya waarabu na kuwaacha wakilia kwa machozi ya uchungu.

Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.

Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.

Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.
nimeanza kudoubt uwezo wa aziz kii. pia, mzize asiende kabisa uarabuni anapoteza tu nauli, miguu mizito utafikiri ngongochi. morison aanza, mayele, na wengine.
 
mwarabu first half atapigwa chuma 0-2,second half 1-1 so FT 1-3......agg 3-4,then baada ya kipenga cha mwisho mashabiki wao wataingia uwanjani kutufanyia vurugu nzito ila kuhusu kombe ndo itakuwa too late.Jumapili asubuhi kutakuwa na habari za vifo vingi sana vya makolo kujiua..REMUNTALEM!!
Matamanio kila mtu anayo. Tatizo uwezo na uwezekano.
 
Winga msumbufu, winga machachari namba kumi na moja Bernard Morrison (Toto tundu) kutokana na skills zake za kuchezea mpira ndani ya box la mpinzani hakika akipewa dakika arobaini (40) zinamtosha kabisa kufanya maajabu mbele ya waarabu na kuwaacha wakilia kwa machozi ya uchungu.

Beki namba mbili (2) Djuma Shabani kupanda na kushuka pamoja na Kloss zake upigaji wa mpira katika lango la mpinzani Kama ataaminiwa na kocha Nabi dakika arobaini tu zinamtosha kufanya Jambo la msingi na kuleta positive results kwa wanayanga.

Beki namba tatu( 3) Lomalisa mutambala anastahili kupata dakika arobaini (40) za Nabi, ujuzi wa kumwaga majalo ndani ya box la mshambuliaji hakika italeta manufaa kwenye kikosi Cha Nabi endapo atapewa dakika arobaini na Nabi.

Twende Algeria, twende kwa nguvu zote.
Halafu muda huo waarabu wanawaangalia tu wao hawana utaalamu wowote.
 
Mna kelele nyingi Sana. Mna ushamba wa mafanikio. Kuwatoa Marumo iliyoshuka daraja mnajiona masuper star.
 
Kama vile waarabu wao hawana kikosi au wataingia watatu uwanjani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao si ndo waliingia timu ikafungwa.

Huyo Morrison akianza tu huko ugenini mjue mtamaliza game pungufu.
 
6ce609b2-aa62-4cba-9f10-5a0cc1d4a109.jpg
 
Back
Top Bottom