ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ivi game na al ahal haikuwa yenu.? Au mi ndo sielewi.Jumaane ijayo wananchi tunaenda kusimama uwanjani na kupiga makofi ya pongezi kwa kocha,benchi la ufundi ki ujumla pamoja na wachezaji wote kwa kuelekea kutimiza michezo 48 pasipo kufungwa.
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile appyIa al ahal haikuwaa mechi au mi.ndo sielewagi
Ni kweli huelewi, ulicho uliza ulistahili kumuuliza jirani Yako kabla ya kuuliza umu[emoji1][emoji1]Ivi game na al ahal haikuwa yenu.? Au mi ndo sielewi.
Hapana nimekuuliza weweNi kweli huelewi, ulicho uliza ulistahili kumuuliza jirani Yako kabla ya kuuliza umu[emoji1][emoji1]
Wanajitoa ufahamu. Wao mashindano wanayoona ni ligi kuu tu. Wakisokomezwa mwiko game za mashindano mengine hawahesabu kama wamefungwaHapana nimekuuliza wewe
Jumaane ijayo wananchi tunaenda kusimama uwanjani na kupiga makofi ya pongezi kwa kocha,benchi la ufundi ki ujumla pamoja na wachezaji wote kwa kuelekea kutimiza michezo 48 pasipo kufungwa.
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile apk
Sisi wana SeMBe tunatamani tuanzishe ya kwetu. Lakini kila tukiiangalia timu yetu tunaona hatuwezi kufika hata nusu ya mechi za Utopolo tutajikuta tunaanza MOYA.Jumaane ijayo wananchi tunaenda kusimama uwanjani na kupiga makofi ya pongezi kwa kocha,benchi la ufundi ki ujumla pamoja na wachezaji wote kwa kuelekea kutimiza michezo 48 pasipo kufungwa.
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Jumaane ijayo wananchi tunaenda kusimama uwanjani na kupiga makofi ya pongezi kwa kocha,benchi la ufundi ki ujumla pamoja na wachezaji wote kwa kuelekea kutimiza michezo 48 pasipo kufungwa.
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kama mwanasimba nakuunga kwa hili mchezo ni furaha na tuoneshe uzalendo. Hingereni sana Yanga tuna la kujifunza kutoka kwenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Chagua mahali penye unataka kupigwa hilo kofi
Tuongelee ligi ya homeIvi game na al ahal haikuwa yenu.? Au mi ndo sielewi.
Afu we una akili..,Kama mwanasimba nakuunga kwa hili mchezo ni furaha na tuoneshe uzalendo. Hingereni sana Yanga tuna la kujifunza kutoka kwenu
Ligi ya home michongo mingi