ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Jumaane ijayo wananchi tunaenda kusimama uwanjani na kupiga makofi ya pongezi kwa kocha,benchi la ufundi ki ujumla pamoja na wachezaji wote kwa kuelekea kutimiza michezo 48 pasipo kufungwa.
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwakuwa jambo hili sasa linaenda kuwa la kitaifa tuombe tu wananchi wote wana yanga na wale wa timu ya msimbazi sote tushirikiane katika tendo hili la kishujaa,tuwe wazalendo.
Niwakumbushe tena mche,o ni jumanne saa kumi jioni wananchi wote mkiwamo nyie wa simba mliopo huku singida kwa uwingi wenu na popote pale mlipo mshiriki kikamilifu katika zoezi hilo ifikapo dkk ya 48.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app